BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
- Thread starter
- #201
Kamati yake ya ufundi ni balaa!Anajua madhaifu ya sheria za TanzaniaHuyu bwana damu yake ni ya kifisadi.Kama ufisadi ungewezekana kuwa inherited, tungeweza kusema ana genes za kifisadi.
Mimi Nashangaa kwa nini mpaka leo yuko kwenye system yetu.Ni lazima ana kitu extremely abnormal ambacho watu wengine hawana.
Anatuliza kila kukicha