You niga wanna kill this young boyWe sulisema unauza Sola na unatafuta agent walioko morogoro vijijini huko
Naam usihofuMkuu samahani naweza kukuchek pm?
Naam usihofuMkuu samahani naweza kukuchek pm?
Hama hapo kwenu,nenda mbali kasake mabunda Mzee. Kesho utafua nguo za hao watoto,kesho kutwa utawapikia kama sio kupewa mtoto mchanga umbembeleze mpaka alale.Aisee Dharau Zimezidi (ujobless kazi sana)
Yaani nimevumilia ila nimeona Leo niandike tu, yaani nipo home Sina kazi na kudharauliwa kumeongezeka
Yaani naambiwa nitenge chakula mezani na mdogo wangu wa kike yupo sebuleni anatazama TV na Hana kazi yoyote, na nimempita mbali tu kiumri.
Natumwa dukani nikanunue kweli vitu vidogo vidogo kama nyanya, vitunguu, mafuta nk na sio vitu vya jumla yaani vidogo vidogo na wadogo zangu wa kike wapo tu wametulia nyumbani,
Na anayonifanyia hayo ni Maza mdogo
Wadau mnanishauri vipi?