RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Aisee Dharau Zimezidi (ujobless kazi sana)
Yaani nimevumilia ila nimeona Leo niandike tu, yaani nipo home Sina kazi na kudharauliwa kumeongezeka
Yaani naambiwa nitenge chakula mezani na mdogo wangu wa kike yupo sebuleni anatazama TV na Hana kazi yoyote, na nimempita mbali tu kiumri.
Natumwa dukani nikanunue kweli vitu vidogo vidogo kama nyanya, vitunguu, mafuta nk na sio vitu vya jumla yaani vidogo vidogo na wadogo zangu wa kike wapo tu wametulia nyumbani,
Na anayonifanyia hayo ni Maza mdogo
Wadau mnanishauri vipi?
Yaani nimevumilia ila nimeona Leo niandike tu, yaani nipo home Sina kazi na kudharauliwa kumeongezeka
Yaani naambiwa nitenge chakula mezani na mdogo wangu wa kike yupo sebuleni anatazama TV na Hana kazi yoyote, na nimempita mbali tu kiumri.
Natumwa dukani nikanunue kweli vitu vidogo vidogo kama nyanya, vitunguu, mafuta nk na sio vitu vya jumla yaani vidogo vidogo na wadogo zangu wa kike wapo tu wametulia nyumbani,
Na anayonifanyia hayo ni Maza mdogo
Wadau mnanishauri vipi?