white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
airtel yazindua huduma ya intanet ya 3.75G,ambayo itakuwa na kasi ya ajabu,tunaomba iwe ni kwa inchi nzima,sio iwe kwa dar tu!na iwe ni 3.75G kweli kwa speed sio kwa jina,kwani kuna mitandao mingine wanasema wana 3g,lakini spidi ni ya edge!