Vodacom na Tigo Lini mtaleta huduma ya E-Sim

Now Airtel, Vodacom na tiGO washaleta hii huduma..

1. Airtel ku activate ni bure

2. Vodacom ku activate ni 6000

3. tiGO ku activate ni 5000

.............................................................................
 
Wakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?
Hv simu yenye lain moja nikiweka huduma ya e-sim means zitakuwa lain mbili au inakuwaje hapo??
 
Back
Top Bottom