Watchtower
Member
- Sep 18, 2022
- 93
- 182
Wakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?
Voda hawaelewiWakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?
ESIM is just a profile Airtel tayari voda tayari soon tigo watakuja and last one watakua halotelUmeshawi kuwa nunulia server na vifaa vyake.
Unafahamu Kila teknolojia inapoongezeka inabidi kuongeza vifaa.
Wajamaliza mfumo wa 5G unataka E-sim.
Vp TTCL na ZANTEL itakua linESIM is just a profile Airtel tayari voda tayari soon tigo watakuja and last one watakua halotel
Nilitegemea Ttcl wawe watu wa kwanza kwenye innovation lakini ni zaidi ya wamwisho maana hata sijui vision yao ni ipi
Hv simu yenye lain moja nikiweka huduma ya e-sim means zitakuwa lain mbili au inakuwaje hapo??Wakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?