Airtel sasa ni wezi?

@&&#)(YZ zao, wamekula elfu tano yangu asubuhi asubuhi nikashindwa kuwasiliana na familia,nilweka vocha usiku wakanipa ofa eti kuanzia saa tano hadi saa kumi na mbil asubuhi, nimeamka saa kumi na moja kupiga wakalamba elfu tano yangu chini ya dakika moja, nimeingáta line yao ila nimekumbuka kesho nina apointment muhimu na namba inayojulikana ni hiyo ya airtel, anyway ndio wanaelekea kunipoteza hivyo
<br />
<br />

Ha ha haaaa... apointment ya Demu au???
 
Mimi yangu zantel nimehama siku nyingi hiyo mitandoo ya wezi
 
Hata mimi wamenikata shiling 1000 yangu bila sababu.NIMEWEKA THEN NIKAPIGA SIMU NIKALIWA SH 200.ASUBUHI KUMEKUCHA NAKUTA hakuna pesa!HAWA NI WEZI.
 
eti heee... mlifurahia basi eti? hamia kwetu..... na bado mpaka mkome kuringa. tunarudi kulekule kwenye kaulimbiu
celtel making life bitter. nasikia sasa mpo na a wonderful thief
 
Nimeongea na rafiki yangu ambaye ni Mdau wa Kampuni hiyo ya Wahindi... ameniambia kuwa wana-experience tatizo kubwa la OVERCHARGING...Mpaka sasa hawajajua cause ni nini??? Mteja akipiga LOCAL CALL ana-charge-wa kama vile amepiga INTERNATIONAL...Kama ccr airtel angeingia huku akatujuza ingekuwa poa... ewe ccr airtel uko wapi...

Mbona faida inakwenda kwao haiji kwetu huku? Waongo hao wameuseti huo mtandao wao wafyeke fedha zetu, lakini wajue ndiyo wanapoteza wateja hivyo.
 
<font size="4">Hawa Airtel sasa wananipa mashaka, nimeweka tsh 2000 nimeongea sek kama 20 imekata na hela imeisha, <br />
nikaweka tsh 1000 nimeongea sekunde chache imebaki tsh 71. Hiyo sh 71 haitaki kwenda kokote hata <br />
kwenye Airtel yenyewe eti huna salio la kutosha! Jamani inakuwaje kwa mtandao mkubwa kama huu?</font><br />
<font size="4">Huduma kwa wateja toka saa 12 wanahudumia wateja wengine, nimekaa hewani nusu saa nasubiri nimechoka. Sasa ndo kabisaaa kila nikipiga jaribu baadaye huwezi kuunganishwa wanaongea na wateja wengine!</font>
<br />
<br />
Mimi wamenilamba 10,000 jana na leo ila wamenitaka radhi baada ya kugundua kuwa tumewashtukia, wamenirudishia 5000
 
Mitandao hii ni ya wizi.<br />
<br />
Voda sasa ivi ukimpunguzia mtu airtime, unaliwa sh 18.
<br />
<br />
naona kwa hal inavyoendelea hata plz cal m wataanza kucharge salio. Express your self, hamia.
 
Hapo ndipo siku zote ninapowashangaa WaTZ. Kwanini mnakuwa watu wa kulalamika bila kuchukua hatua.

Nawashauru mnacho chombo cha kuthibiti hawa telecom Operators ambao ni TCRA. Kwanini msiwajuze ili wachukue hatua.

Uki gougle utapata taarifa nyingi sana za huyu regulator.

Tumeni malalamiko yenu TCRA kwa maila hii

dg@tcra.go,tz
 
Back
Top Bottom