Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
<br />@&&#)(YZ zao, wamekula elfu tano yangu asubuhi asubuhi nikashindwa kuwasiliana na familia,nilweka vocha usiku wakanipa ofa eti kuanzia saa tano hadi saa kumi na mbil asubuhi, nimeamka saa kumi na moja kupiga wakalamba elfu tano yangu chini ya dakika moja, nimeingáta line yao ila nimekumbuka kesho nina apointment muhimu na namba inayojulikana ni hiyo ya airtel, anyway ndio wanaelekea kunipoteza hivyo
<br />
Ha ha haaaa... apointment ya Demu au???