samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Wadau naomba ufafanuzi wa kifurushi cha MB400 nisawa na tsh 2500!nimeweka hatawikimoja haijaisha naambiwa imekwisha expire,je hii si ya siku 30 tena?
Ondoa automatic downloads kwenye pc yako
naondoaje....? asante...
ile free ya usiku nayo imerudi?
nashukuru kwa maelekezo yako,nimeshapata mb 400 usiku huunimejiunga jana, usipite njia ya *154*44#...we andika tu internet tuma kwenda 15444
nashukuru kwa maelekezo yako,nimeshapata mb 400 usiku huu