kwangu hii bundle haijawahin kataa hata siku mojaView attachment 70195
mkuu mleta mada kasema sasa inakubali, umejaribu ikakataa??nafikiri inakubali kwa wateja wa zamani,kwa sisi wateja wa wapya hatuna chetu.!
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde airtel wamerudisha kifurushi(bundle)cha 400m kwa 2500tsh na vifurushi(bundles) vingine vya zamani naomba kuwakilisha
mkuu mleta mada kasema sasa inakubali, umejaribu ikakataa??
nijuavyo mimi hii kitu inabagua line.. inategemea kati ya line na line.. hamna cha kusitisha blah blah blah kwamba watagoma nope... line yangu moja kati ya tatu inakubali kuunganisa hata nikae miezi bila kujiunga na ni kwa kutuma neno INTERNET kwnda 15444. nyingine zinagoma zinasema tafadhali piga *154*44# kujiunga ambapo hiyo kitu siipati
me jana nimwfanikiwa kujiunga, amd all the time hua napata 400MBmkuu ngoja nimalizie MB 150 kwa 2500/= ndio nijaribu kama itakubali.!
speed ni nzuri, but me iko sehemu ambayo airtel network haijakaa fresh but still I can get speed nzurisvp speed yake ? :target::tea:lane:
nijuavyo mimi hii kitu inabagua line.. inategemea kati ya line na line.. hamna cha kusitisha blah blah blah kwamba watagoma nope... line yangu moja kati ya tatu inakubali kuunganisa hata nikae miezi bila kujiunga na ni kwa kutuma neno INTERNET kwnda 15444. nyingine zinagoma zinasema tafadhali piga *154*44# kujiunga ambapo hiyo kitu siipati
What is 200MB wakati Vodacom tunaparty kwa sh 200 mpka asubuhi.Vipi na ile airtel Free bundle 200MB every night?