Muttaline
Member
- Apr 21, 2012
- 80
- 10
Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa kiislam. mfano shule ya UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO matokeo ya kwanza yalikuwa hivi DIV-I = 1 DIV-II = 11 DIV-III = 54 DIV-IV = 12 FLD = 3 ya sasa ni DIV-I = 4 DIV-II = 24 DIV-III = 47 DIV-IV = 5 FLD = 1. Sasa kwa matokeo haya napata maswali:
1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?
NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.
1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?
NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.