Is there any connection with the thread above. Tafuta njia ya kufikisha ujumbe uliokukandamiza bila sababu za msingi.
Hakuna kitu kama hicho. Ukifuatilia utagundua wakristo hawana sera hiyo. Angalia ukweli wa hoaja yako kwa upande mwingine, nahisi kunakubebana. Mwizi daima huisi kila mtu mwizi
Na ushahidi kauweka halafu unasema ni hoja?
ushahidi gani alionao, kwa akili zako unafikiri inawezekana mtu akakaa na kupanga matokeo ya kundi fulani?
Elimu na tathmini ni vitu vinavyofuatiliwa kwa kamakini sana. HUsikurupuke tu.
Hii ni kashfa kubwa sana kwa NECTA, Jee, Bible studies nayo wameifanyia hivi?
Hatozidishiwa mwenye kudhulumu ila hasara.
Unaweza ukawa na point sehemu fulani lkn comments za kijinga kama hapo kwenye bold zikafanya hata wale wanaotaka kukuunga mkono wasijue nia yako.
Siungi mkono kilichofanywa na NECTA kwani ni dhuluma na ukiukwaji wa haki na kama ni amri yangu, waliohusika sio tu wafukuzwe kazi bali pia wafunguliwe mashitaka mahakani kwani Kugushi ni criminal offense.
Sasa linapokuja suala la kudai haki, jaribu ku-focus kwenye kuipata haki yako na sio kujadili kwa nini mwingine anapata haki yake. Unao ushahidi kuwa aliyefanya hivi alitumwa na KANISA kiasi uhoji kwa nini Bible Studies haijakuwa violated? You are very low and stupid kama NECTA wenyewe
mpe heshima yake sema Mh Waziri wa elimuNdalichako hujambo?