William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #81
Watu wengi nimegundua kuwa wanaingia kichwa kichwa kwenye hii issue. Kwanza lazima wajue kuwa hii issue siyo ya zitto ila zitto amevalia njungu (Mungu akubariki). Hii issue imekuwa inaongelewa na donors miaka nenda miaka rudi na ni moja ya chanzo cha utendaji mbovu serikalini. CCM na wabunge wake na wale wwanaofaidika na huu unyama always watapenda hii issue iendelee kwa sababu ina wagawa wafanyakazi na kufanya watawalike kirahisi na hawa manjangili.
Issue wenyewe: Hizi posho haramu (sitting allowance) amabzo zitto anazivalia njunga ni posho ambayo mfanyakazi wa serikali analipwa kwa kutekeleza wajibu amabao pia analipwa mshahara kwa mfano. Procurement officer amabye kazi yake ni kuhakikisha kuwa kuna manunuzi yenye tija katika idara yake analipwa posho kwa kukaa kwenye eavaluation board. Huyu procurement officer muda wake anaolipwa mshahara ni saa moja na nusu asubuhi mpaka saa kumi jioni. evaluation board ina kaa saa nne mpaka saa nane mchana, ndani ya muda wake wa kazi anaolipwa mshahara lakini anapewa tena posho. Hii pratice ya serikali inaleta mazara makubwa sana kwa utendaji serikalini na nchi kama kawaida kwa mfano
- Kuna tija gani kwa daktari kwenda kufanya operation kwa mgonjwa ambako hapati allowance yoyote wakati akitafuta workshop ya customer care analipwa allowance na anaweza kuhudhuria workshop hizo kwa mara 5 kwa 3 years sababu posho haramu
- Hizi posho zimeweza kutumiwa na serikali kuweza kuwa retain technical staff. Lakini ni kwamba baada ya kuacha ujamaa( mpango wa shetani kuwadanganya watu) salaries siku hizi zinategemea soko na hizi allowance aziwatendei haki wafanyakazi wa nchi hii kwa kuwa ina fanya mishahara iwe chini sana kwa Tanzania. Ukiwa unafanya kazi katika shirika ambalo lina ofisi nchi za kenya na uganda, ni watanzania ndiyo watakao lipwa kidogo kwa kuwa salary marjetyetu imefunikwa na hizi posho.
- Watanzania wachache wanaolipwa hizi posho mara kwa mara il waendelee kuwepo kwenye hii circle wamekuwa wakiwaabudu viongozi wao ili kuwepo kwenye hii ciecle. kumbuka kuwa si wafanyakazi wote ambao wanafaidikia na hizi posho.
- mabosi wamekuwa wanatumia hizi posho kama rushwa kwa nyumba ndogo kwa sabubu ni bosi anayetoa ruhusa kwenda kuhudhuria hivi vikao na workshop.
- Mkuu talking about kuingia kichwa kichwa na ishus, ungaeuliza kwanza poshoo za wabunge zilishinikizwa na nani huko nyuma, thenutagundua ni hao hao donors hasa the Scandnavians ambao toka int he 90s wamekua wakihaha sana kuona CCM inaondolewa kwenye power, they thought kwamba Mrema alikuwa na nguvu kubwa ya kuiondoa CCM walipolilia kuongezwa kwa hayo maposho kwa wabunge wapya na kumfanya Mrema Rais anayekubalika sana na wabunge, na infact ni wewe unayeingia kichwa kichwa na ishu kwa sababu, sio siri kwa maelezo yako hata huelewi nani hasa anatoa hizo hela za posho kwa Wabunge wetu, vipi ungeuliza kwanza kabla ya kuingia kichwa kichwa!
- CCM wanafadika na mfumo wetu wa utawala ambao ni rukhsa kwa chama chochote kinachoshinda uchaguzi, mfumo wa Winner takes all, lakini si mfumo uliotengenezwa kwa ajili ya CCM tu ni mawazo potofu sana!
William @ NYC, USA.