gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
- Thread starter
- #41
duh me kwa mara yakwanza nilpanda 2002,raha kweli tho ilikuwa third class mtoto niliona ka daraja la kwanza afu 2likuwa company kubwa!
Pengine hukuwahi kupanda tena..
duh me kwa mara yakwanza nilpanda 2002,raha kweli tho ilikuwa third class mtoto niliona ka daraja la kwanza afu 2likuwa company kubwa!
hivi kwa sasa nikitaka inakuwaje???hop sijachelewa sana...na huu uzee!..lo!
Dah ilikuwa raha sana sana, Reli ya kati nilishawahi panda na Tazara, mpaka pale Salanda aisee raha kweli na Dodoma unapita mida ya mchana mchana unachapa usingizi weeee mpaka unachoka mwenyewe!
Kiukweli, wanasiasa ndo wameharibu ladha zote za usafiri wa reli kwa lengo la kuhakikisha tumbo lao lina shibe ya kutosha!
LIMENIUMA SANA!
Dah umenikumbusha mbali sana....yan enzi zileeeee nasoma zangu Kigoma.....
King'ombe namkumbuka..
Aisey Gamba, uliwaza nini kutukumbusha hii maneno ? Inasisimua kiaina yake!
Unamkumbuka yule Mz. Kipofu wa kigogo, alikua anatembea sana na Train akipuliza filimbi ?
Unamlipa sh 50 (sungura) au sh 1 ya (mwenge) au sent 20 ya (mbuni) kisha unachagua wimbo.
nilivyoona thread tu nikajua utakuwa unazungumzia treni........
Acha nikasomee fani ya sheikh yahaya...
Aisee we ni kiboko..
Nimekukubali Judgement.. Yule mzee bana alikuwa na ustadi wa aina yake.. Hela unayompa ndogo sana ukilinganisha na uwezo wa kuiga nyimbo kwa filimbi..
Na dili zake kwenye treni!
Yaani panakuwa kama kwenu vile.. Mara miswaki,mnapiga stori na mtu usiyemjua,mara giza linaingia,mara unaenda kula(akina mama lazima wabebe vyakula visivyoharibika kama chapati,maandazi),mara kulala.. Mara kesho tena.. Acha tu..
Dah, umenikumbusha mbali sana.
Ukikaa 3rd class ukinyanyua mguu, kuurudisha chini utajibeba.
Salanda, kuku alikuwa na paja kubwa kama la paa
Buffet, ndo kulikuwa wanakaa wajanja na wenye pesa, kibinti kikijipisha pitisha pale ama zake ama za mapedeshee wa kwenye treni.
Tutapanda za umeme ma dia...hizi za kihindi usizitamani kabisa!Nataman siku nikibahatika kupanda tren sijawahi tangu kuzaliwa lol!
Nasikitika sana mpaka mashirika yamekufa sijawahi panda Treni..
Daraja/class gani?
Basi mie nilikuwa nikimuotea yule Babu sikubali anipite bila kunipigia wimbo wa Tabora Jazz , hasa Dada Asha nilikua naupenda sana .
daraja la kwanza na la pili sikuwahi kuonja raha yake zaidi ya kusimuliwa kama hivi, btw hivi reli ya kati ndo imetelekezwa? Ooo poor we Tanzanians!
..kama nakuona vile .. ukiwa 3rd class, form one na sumatra lako kichwani na warrant yako mfukoni ...chini umepiga bugaluu na raizon ngazi mbili ..juu slim fit
Tutapanda za umeme ma dia...hizi za kihindi usizitamani kabisa!
Nasikitika sana mpaka mashirika yamekufa sijawahi panda Treni..