Africa's 100 top universities 2012

Knowlegde for what? Elimu si ndio itakufanya uwe na maisha mazuri. Au unapenda kuwa profesa wa sifa. Kalaghabaho, Knowledge sio lazima UDSM hata Modern college inasaidia. Ngojeni mkimaliza mje uraiani na visifa vya mlimani mkipewa kazi mshindwe kufanya.

Wewe ni. Wa Kampala university nini????? Tehe tehe tehe!!!
 
hiii list ina walakini mkubwa sana haiwezekani UDSM iwe juu ya UCT , anyway pia ukiiangalia product za UD miaka hii hata hazinishawishi. kwa mfano kulinganisha product ya UD na Mzumbe katika baadhi ya field UD wanakuwa Chini sana, Kuna wanafunzi tumekutana miaka 3 iliyopita katika HR na Uhasibu wanafunzi wa UD walikuwa vilaza kweli huko maofisini ukilinganisha na wale wa mzumbe but UD wao wanaishia kujisifia kuwa wanatoka chuo bora tunataka huo ubora uonekane katika utendaji kazi na sio blaa blaa
 
Of course nakubaliana na wewe...matatizo yapo kwa kila Chuo...nilikuwa najaribu pia kutoa changamoto kwamba nbado tuna safari ndefu...Hili la Jukwaa husika nadhani linajijibu lenyewe baada ya mods kuhamishia huku jukwaa la elimu[/QU

Ni kweli bado UDSM kina changamoto nyingi za kufikia kiwango cha sisi kujisifu kwamba tuna angalau the Best University East and Central Africa lakini hivyo vyuo vingine ni uozo kabisa. Nenda DIT watu wanasoma BEng kwa masaa 4 kwa siku(evening class) halafu miaka mitatu then wanapewa Uprincipal Engineer na Umeneja TANESCO, Hivi kweli wanaweza kureason na kutoa proper technical judgement kweli?Ndio maana Mashirika yetu ya UMMA yanakufa kwa kuamini short cuts. UDSM huwezi kukuta shortcuts ndo maana watu wengi walodisco hasahasa FOE(now COET) wanachukia sana neno UDSM likitajwa masikioni mwao.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
hiii list ina walakini mkubwa sana haiwezekani UDSM iwe juu ya UCT , anyway pia ukiiangalia product za UD miaka hii hata hazinishawishi. kwa mfano kulinganisha product ya UD na Mzumbe katika baadhi ya field UD wanakuwa Chini sana, Kuna wanafunzi tumekutana miaka 3 iliyopita katika HR na Uhasibu wanafunzi wa UD walikuwa vilaza kweli huko maofisini ukilinganisha na wale wa mzumbe but UD wao wanaishia kujisifia kuwa wanatoka chuo bora tunataka huo ubora uonekane katika utendaji kazi na sio blaa blaa
[h=2]METHODOLOGY[/h] First, as with any similar list that determines which universities are "best," Africa.com collected both quantitative and qualitative data to determine which universities in Africa would make our Top 10 List.
Second, we made a determination to create two distinct lists: a) Africa, excluding South Africa, and b) South Africa. If we were not to have made this distinction, our Top 10 List would be dominated by South African universities, and would not be useful to those seeking a pan-African perspective. At the same time, we wish to acknowledge the strength of South Africa's many world-class universities, so we decided to dedicate a list that features just South African institutions.
Third, our criteria include the following: 1) undergraduate and graduate school reputation among higher education peers; 2) student selectivity for entering undergraduate class; 3) quality and quantity of faculty research, including depth of research facilities and engagement beyond immediate community, and 4) international student ratio-the degree to which institution draws students from outside of its national boundaries.
Fourth, in addition to collecting quantitative data on the criteria above, we used our extensive network on the continent for qualitative input as a "reality check" to the results that our data yielded. These "reality checks" resulted in some small, but important adjustments to the list.
We are very proud of our list of the best universities in Africa, and hope that it is a useful tool for those who seek a relative comparison of institutions of higher education on the continent.
 
hiii list ina walakini mkubwa sana haiwezekani UDSM iwe juu ya UCT , anyway pia ukiiangalia product za UD miaka hii hata hazinishawishi. kwa mfano kulinganisha product ya UD na Mzumbe katika baadhi ya field UD wanakuwa Chini sana, Kuna wanafunzi tumekutana miaka 3 iliyopita katika HR na Uhasibu wanafunzi wa UD walikuwa vilaza kweli huko maofisini ukilinganisha na wale wa mzumbe but UD wao wanaishia kujisifia kuwa wanatoka chuo bora tunataka huo ubora uonekane katika utendaji kazi na sio blaa blaa

Sizitaki mbichi hizi, tehe tehe tehe
 
Uct, all the way. Someni hiyo website wamesema hawajahusisha vyuo vya Afrika kusini maana wangeviweka orodha nzima ingehusisha vyuo vya Afrika kusini.
 
Ubora wako binafsi utakusaidia zaidi........
ni wangapi walisoma shule za kata waka score division one na wangapi wamesoma mishule mikubwa, ya kimataifa, na kingwe na waka pata sifuri....
Udsm kwa umri wake,miundombinu iliyopo,rasili mali watu walonayo..ni lazma kwa kwa tz kita rank cha kwanza kwa muda mrefu sana...ila ikumbukwe pia kwa kua udsm ndo chuo pekee kilichokuwapo kwa muda mrefu.....kufanya vizuri ama vibaya kwa udom,mzumbe etc ni sifa pia ama aibu kwa chuo cha udsm kwa kua wao ndio waliokua na jukumu la kuwaandaa wataalamu ama wanataaluma ambao wangetumika ktk vyuo vipya....
UDSM ina rank juu hata mimi nakubali lakini je? wewe binafsi una rank gani? je kwa uwezo wako ama utendaji wako ama mchango wako ktk tanzania na jamiii kwa ujumla unawazidi hao walio soma huko Udom ama Mzumbe? je wewe binafsi una uwezo/taaluma ama uelewa kuzidi hao wa Udom na mzumbe?...
UDSM Hoyeeee bt kila mmoja ajitathmini yeye na si kimafungu...ni aibu iliyoje kwa wewe kua kilaza ili hali chuo ulichosoma wewe kina rank high! Ni uhodari gani kwa sisi tulosoma huko Udom,Mzumbe na kwingineko na tunafanya vizuri kiutendaji ktk jamiii.....
Je wewe umechangiaje ktk kukifanya chuo chako ku rank ktk nafasi hiyo?
Changamoto zipo tena si kidogo ktk vyuo vipya kama Udom........na ni kawaida kwa upya wake..nawatia moyo na pia kuwapongeza mlio kuwa ktk vyuo vipya kama udom kwa uvumilivu wenu na kujituma kwenu kusoma ktk mazingiira magumu na yenye changamoto kibao.eg uhaba wa waadhiri na facilities zingine.....
Udsm watendeeni haki wa tz kwa kuwa allocate kuvijengea uwezo vyuo vingine vipya kama Udom....ukweli ni kwamba some years to come Udom itaimarika na kua moja ya best and big university kama Udsm.
narudia kusema UBORA WAKO WEWE NI WA MUHIMU SANA usivimbe kichwa kwa chuo chako ku rank high ama down.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
TOP UNIVERSITIES OF
AFRICA










Top 100 Universities of Africa is listed here according
to their ranks. The university title is linked to the official website of the
respective university. Therefore, if you need more information on the university
then you may click on the title of the Unviersity.


  1. University Of Cape Town, South Africa
  2. Rhodes University, South Africa
  3. Stellenbosch University, South Africa
  4. University Of Pretoria, South Africa
  5. University Of The Witwatersrand, South
    Africa
  6. University Of The Western Cape, South
    Africa
  7. University Of South Africa, South
    Africa
  8. University Of Kwazulu Natal, South
    Africa
  9. American University In Cairo, Egypt
  10. Universite De La Reunion, Reunion
  11. Nelson Mandela Metropolitan University,
    South Africa
  12. University Of The Free State, South
    Africa
  13. Cairo University, Egypt
  14. Universite Cheikh Anta Diop De Dakar,
    Senegal
  15. University Of Zimbabwe, Zimbabwe
  16. Universite Abdelmalek Essadi, Morocco
  17. Institut Universitaire De Formation
    Des Maitres De La Reunion
    , Reunion
  18. University Of Mauritius, Mauritius
  19. University Of Johannesburg, South Africa
  20. Universite Cadi Ayyad, Morocco
  21. Strathmore University Nairobi,
    Kenya
  22. University Of Dar Es Salaam, Tanzania
  23. University Of Namibia, Namibia
  24. Polytechnic Of Namibia, Namibia
  25. University Of Nairobi, Kenya
  26. Universidade Eduardo Mondlane, Mozambique
  27. Arab Academy For Science & Technology And
    Maritime Transport
    , Egypt
  28. Ain Shams University, Egypt
  29. Ecole Mohammadia D'ingenieurs, Morocco
  30. Al Akhawayn University Ifrane, Morocco
  31. Mansoura University, Egypt
  32. Addis Ababa University, Ethiopia
  33. Egerton University, Kenya
  34. Institut Agronomique Et Veterinaire Hassan
    Ii
    , Morocco
  35. North West University, South Africa
  36. Universite Abou Bekr Belkaid
    Tlemcen
    , Algeria
  37. Universite De Ouagadougou, Burkina
    Faso
  38. German University In Cairo, Egypt
  39. Tshwane University Of Technology, South
    Africa
  40. University Of Botswana, Botswana
  41. Zagazig University, Egypt
  42. University Of Benin, Nigeria
  43. Universite De Batna, Algeria
  44. National University Of Rwanda, Rwanda
  45. Cape Peninsula University Of
    Technology
    , South Africa
  46. University Of Khartoum, Sudan
  47. Makerere University, Uganda
  48. Mogadishu University,
    Somalia
  49. University Of Fort Hare, South Africa
  50. Ecole Superieure Privee D'ingenierie Et
    De Technologies
    , Tunisia
  51. Faculte Des Sciences Rabat, Morocco
  52. University Of Ghana, Ghana
  53. University Of Zululand, South Africa
  54. Assiut University, Egypt
  55. Universite Mohammed Premier
    Oujda
    , Morocco
  56. Ecole Nationale Superieure D'informatique Et
    D'analyse Des Systemes Ensias
    , Morocco
  57. University Of Zambia, Zambia
  58. Awolowo University, Nigeria
  59. Faculte De Medecine & Pharmacie,
    Morocco
  60. Universite Virtuelle De Tunis, Tunisia
  61. Universite D'Alger, Algeria
  62. Ecole Du Patrimoine Africain, Benin
  63. Amoud University, Somalia
  64. Sokoine University Of Agriculture,
    Tanzania
  65. Universite Sidi Mohamed Ben Abdellah
    Fes
    , Morocco
  66. African Virtual University, Kenya
  67. Sudan University Of Science &
    Technology
    , Sudan
  68. Mangosuthu Technikon, South Africa
  69. University Of Malawi, Malawi
  70. Universite Des Sciences Et De La Technologie
    Houari Boumediene
    , Algeria
  71. Universite M'hamed Bougara De Boumerdes,
    Algeria
  72. Faculte Des Sciences Tetouan, Morocco
  73. Institut Superieur De L'information Et De
    La Communication
    , Morocco
  74. Garyounis University, Libya
  75. Moi University, Kenya
  76. Universite De Blida, Algeria
  77. Universite Senghor
    D'alexandrie
    , Egypt
  78. Kwame Nkrumah University Of Science &
    Technology
    , Ghana
  79. University Of Burao, Somalia
  80. Ecole Nationale Polytechnique D'Alger,
    Algeria
  81. Universite Mohammed V Souissi, Morocco
  82. Al Azhar Al-Sharif
    Islamic Research Academy
    , Egypt
  83. Pan-African University, Nigeria
  84. Monash University South Africa, South
    Africa
  85. Institut De Formation En Technologie
    Alimentaire
    , Morocco
  86. Universite Hassan Ii Ain-chock, Morocco
  87. American University Of Kinshasa,
    Congo
  88. Vaal University Of Technology, South
    Africa
  89. Universite Chouaib Doukkali, Morocco
  90. Universite De Nouakchott, Mauritania
  91. Central University Of Technology, South
    Africa
  92. University Of Tanta, Egypt
  93. Universite Djillali Liabes, Algeria
  94. College Of Medicine University Of
    Malawi
    , Malawi
  95. Universidade Catolica De Angola, Angola
  96. Centre Africain D'etudes Superieures En
    Gestion Senegal
    , Senegal
  97. Minufiya University, Egypt
  98. Institut National De Formation En
    Informatique
    , Algeria
  99. Universite Abdelhamid Ibn Badis
    Mostaganem
    , Algeria
  100. University Of Ibadan, Nigeria

These African Universities are ranked depending upon various factors and
resources. Some of the factors are Quality of Education, Quality of Faculty,
Size and Age of an Institution, Student Views, Facilities, etc.
 
hiii list ina walakini mkubwa sana haiwezekani UDSM iwe juu ya UCT , anyway pia ukiiangalia product za UD miaka hii hata hazinishawishi. kwa mfano kulinganisha product ya UD na Mzumbe katika baadhi ya field UD wanakuwa Chini sana, Kuna wanafunzi tumekutana miaka 3 iliyopita katika HR na Uhasibu wanafunzi wa UD walikuwa vilaza kweli huko maofisini ukilinganisha na wale wa mzumbe but UD wao wanaishia kujisifia kuwa wanatoka chuo bora tunataka huo ubora uonekane katika utendaji kazi na sio blaa blaa
Ulikuwa unalinganisha visivyolingna. UDSM hakuna product hata moja ya HR mpaka sasa, mwakani ndio Bussiness school watatoa product ya kwanza. Kilichokuwapo UDSM miaka yote tangu 1960's ni Public Administration, Economics, Law na Sociology ambao wamekuwa wakiajiriwa kwenye field za Administration na HR. Mimi nafanya kazi na Dada mmoja alimaliza Mzumbe. Haki ya Mungu kama tutafanya Judgement kwa kutumia vyuo kama ulivyofanya wewe...hatari sana. Utadhani hata Form 6 hakumaliza achana na kufaulu. Lakini binafsi huwa nafikiri ni matatizo yake sio ya Chuo. Mzumbe ilikuwa enzi hizo wakati kikiwa Polytechnic Institution sas hivi ni maharage ya Mbeya. Ukitaka Masterz ya kujichukulia ili upandishwe Cheo ofisini nenda Mzumbe Dar Bussiness School. Mtu hana background hata kidogo kwenye HR lakini anapata admission ya M.A na kupata First Class.
 
Ubora wako binafsi utakusaidia zaidi........
ni wangapi walisoma shule za kata waka score division one na wangapi wamesoma mishule mikubwa, ya kimataifa, na kingwe na waka pata sifuri....
Udsm kwa umri wake,miundombinu iliyopo,rasili mali watu walonayo..ni lazma kwa kwa tz kita rank cha kwanza kwa muda mrefu sana...ila ikumbukwe pia kwa kua udsm ndo chuo pekee kilichokuwapo kwa muda mrefu.....kufanya vizuri ama vibaya kwa udom,mzumbe etc ni sifa pia ama aibu kwa chuo cha udsm kwa kua wao ndio waliokua na jukumu la kuwaandaa wataalamu ama wanataaluma ambao wangetumika ktk vyuo vipya....
UDSM ina rank juu hata mimi nakubali lakini je? wewe binafsi una rank gani? je kwa uwezo wako ama utendaji wako ama mchango wako ktk tanzania na jamiii kwa ujumla unawazidi hao walio soma huko Udom ama Mzumbe? je wewe binafsi una uwezo/taaluma ama uelewa kuzidi hao wa Udom na mzumbe?...
UDSM Hoyeeee bt kila mmoja ajitathmini yeye na si kimafungu...ni aibu iliyoje kwa wewe kua kilaza ili hali chuo ulichosoma wewe kina rank high! Ni uhodari gani kwa sisi tulosoma huko Udom,Mzumbe na kwingineko na tunafanya vizuri kiutendaji ktk jamiii.....
Je wewe umechangiaje ktk kukifanya chuo chako ku rank ktk nafasi hiyo?
Changamoto zipo tena si kidogo ktk vyuo vipya kama Udom........na ni kawaida kwa upya wake..nawatia moyo na pia kuwapongeza mlio kuwa ktk vyuo vipya kama udom kwa uvumilivu wenu na kujituma kwenu kusoma ktk mazingiira magumu na yenye changamoto kibao.eg uhaba wa waadhiri na facilities zingine.....
Udsm watendeeni haki wa tz kwa kuwa allocate kuvijengea uwezo vyuo vingine vipya kama Udom....ukweli ni kwamba some years to come Udom itaimarika na kua moja ya best and big university kama Udsm.
narudia kusema UBORA WAKO WEWE NI WA MUHIMU SANA usivimbe kichwa kwa chuo chako ku rank high ama down.
Hii funga kazi. Siongezi neno hapa
 
Published On: Thu, Nov 29th, 2012


According to a new ranking released by Africa.com, University of Dar es Salaam is the 6th best University in Africa. Cairo University is the still the best University in Africa.

See the top 10 best Universities in Africa below:

1. Cairo University - Egypt
2. American University in Cairo - Egypt
3. Mansoura University - Egypt
4. Makerere University - Uganda
5. University of Nairobi - Kenya
6. University of Dar es Salaam - Tanzania
7. University of Botswana - Botswana
8. University of Ghana - Ghana
9. University of Lagos - Nigeria
10. Ashesi University - Ghana
 
South African University are not in OUR WORLD??? The African Continent World???

** VIPI ya DODOMA... UH LALA...!!!
 
Hii list sio, yani top ten hakuna university hata moja from south africa? Check the real list hii hapa.

Top 100 Universities and Colleges in Africa by the 4icu.org University Web Ranking

1 University of Cape TownSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
2 Universiteit StellenboschSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
3 University of PretoriaSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
4 University of the WitwatersrandSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
5 University of KwaZulu-NatalSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
6 University of South AfricaSouth Africa
flags_of_South-Africa.gif
7 Cairo UniversityEgypt
flags_of_Egypt.gif
8 The American University in CairoEgypt
flags_of_Egypt.gif
9 Rhodes UniversitySouth Africa
 
Panga pangua in Africa, University of Capetown is the #1 university in Africa. Ukiona haiko basi hiyo source is bogus!!
 
Back
Top Bottom