angegombea ubunge angepata kura 2 ya kwake mwenyewe na nyingine ya 20%.
Teh teh teh teh!mmh!! ingawa ni haki yake lkn hapana.................inamaana CDM imekosa watu kabisa hadi iende kwa huyu ambaye mzuka ukipanda huwa anavua nguo hadharani??
mmh!! ingawa ni haki yake lkn hapana.................inamaana CDM imekosa watu kabisa hadi iende kwa huyu ambaye mzuka ukipanda huwa anavua nguo hadharani??
Msanii wa bongo fleva alimaarufu kwa jina la afande sele amesema atagombea ubunge morogoro mjini kupitia chama cha upizani na wala sio ccm kwa sababu yeye ni toka kitambo amekuwa akimpa sapoti mbowe na yeye ndio alimshauri sugu ahamie chadema.msanii huyu alienda mbali na kusema katka kazi zake za mziki amepata mchango mkubwa sana kutoka kwa baadhi ya viongozi wa kafu. Aliongeza pia anaamin ili kuyatoa manyang'au ccm madarakani ni vema vyama vya upinzani kuungana pamoja. Alipoulizwa atagombea kupitia chama gani alisema muda ukifka ntasema ila sio ccm.
mmh!! ingawa ni haki yake lkn hapana.................inamaana CDM imekosa watu kabisa hadi iende kwa huyu ambaye mzuka ukipanda huwa anavua nguo hadharani??
Prof maji marefu ana kesi Chunya ya Mwaka 1995 alikujaga shuleni kwetu Primar kufanya mazingaombwe kwa kumchinja dada mmoja viungo vyake vyote na hatima yake alipata tabu sana kuviunganisha mpaka leo yule dada ni chzi.Agrobuz; Anayo haki ya kutangaza nia kwani ni Mtanzania kama wengine, tungekuwa tunabaguana sidhani kama yule mganga wa kienyeji Prof.Maji Marefu angekuwa mbunge kupitia CCM maana waganga wa kienyeji na uchawi ni inseparable