Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
ni kweli but 2015 kura za maoni cdm patachimbika kwani kuna kichwa hapa moro kiligombea kuipitia cdm kinaitwa aman mwaipaja kni mwansheria kitaaluma na hoja sana kama zitto au mnyika.
huyo amani mwaipya goi goi kweli kweli, hakuwa serious kwenye kampeni 2010, alikuwa kama anajifunza nini maana ya siasa yaani kama alikuwa darasani, 2015 tunahitaji mtu serious,mwenye malengo, alikuwa anatoa photocopy picha zake za kampeni na kuzibandika, .goi goi kweeeli