Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
kweli CCM kiboko...! mtu tangu 1996 mpaka leo unakuwa na bastola halafu mtu mwingine anakuja kukufungua shati na kulifunika halafu wewe hujui kinachoendelea mpaka uone kwenye gazeti! tuone kama sheria itachukua mkondo wake!Jamani jamani msikilize aden rage clouds
anaomba radhi ati akujua kama silaha ile iko kiunoni na amekuwa nayo tangu 1996
na hana rekodi yoyote kuhusu silaha ile..anasema anaomba radhi watanzania akidai
akufanya makusdi na hata yeye binafsi alipopanda kwenye jukwaa alishangaa ati mwenyekiti
wa ccm wilaya bw michael akimmfungua shati lake na kulifunika..na kusema baada ya kufanya
siasa zake alimaliza na baya anasema ameshangaa hata wana ccm wenzake akiwemo be michael
akumuweleza kwa nini alimfunga shati lile na yeye kuja kuona silaha ile kwenye mwananchi gazeti
kwaa niaba ya watanzania mnasmaheje jamani??