Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,404
kama ni mzembe namna hiyo basi hasthili kumiliki silaha! Anaweza isahau hata chooni
Ina maana hiyo bastola ilikuwa na uzito wa karatasi au uzi? Yaani ina maana wakati anafunga mkanda wa suruali yake hakutambua kuwa kulikuwa na silaha? Yaani jitu zima bado linadanganya tu. Kuna siku moja atajinyea kwenye suruali, watu watamkimbia kwa harufu halafu yeye atadai kuwa hakujua kama amekunya kwa sababu hakusikia harufu au uzito wa mavi yake.
2009 - mke katumwa kwa mkulu. Na chaajabu aligombania ubunge na kashinda.Have often wondered if exconvicts are eligible to contest ubunge.
huyu hata akiua kwa mtindo huu atajua kama ameua? Hivi hata wakati anamuombea dalaly kura alijua anachofanya? Unless imeripotiwa vibaya, huyu mtu ni hatari kukaa na silaha, si bastola tu hata jambia!
mkuu, adanganywe aje a2onyeshe wa2 wa mjini moshi, aone,
Kama ni kweli kasema amesahau kuwa alikuwa na silaha basi nategemea jeshi la polisi limnyang'anye haraka sana maana anahatarisha usalama wa raia wasio na hatia. Hivi angetokea mwenda wazimu akaichukuwa na akawageukia wananchi aliokuwa anawahutubia ingekuwaje? Hili jambo si la kuangaliwa kwa mzaha maana kimsingi ananchosema Rage ni kwamba hana 'fahamu'!
Huyu rage anatutania.Jamani jamani msikilize aden rage clouds
anaomba radhi ati akujua kama silaha ile iko kiunoni na amekuwa nayo tangu 1996
na hana rekodi yoyote kuhusu silaha ile..anasema anaomba radhi watanzania akidai
akufanya makusdi na hata yeye binafsi alipopanda kwenye jukwaa alishangaa ati mwenyekiti
wa ccm wilaya bw michael akimmfungua shati lake na kulifunika..na kusema baada ya kufanya
siasa zake alimaliza na baya anasema ameshangaa hata wana ccm wenzake akiwemo be michael
akumuweleza kwa nini alimfunga shati lile na yeye kuja kuona silaha ile kwenye mwananchi gazeti
kwaa niaba ya watanzania mnasmaheje jamani??
Hiyo pisto ilifuata nini Igunga? kwa kumuogopa nani?
Nikweli hujui sheria zetu za Tanzania?
Je jumla mna silaha ngapi huko?
Nitoe wasi wasi kaka!