weni mjomba ake au ni shemji ake alifikiri hapani sudani mshenzi kweli akawaombe wana tbr labda ndo watakao msikiliza lkn sio cc eti naomba msamaha tihetihe....kamuombe mkeo.Al shabab huyo msameheni tu
Hahahah....ile ni chiboko aiseee, alafu meneja wa kampeni anatoa utangulizi, vinjwaji vipo ila unajinunulia, soda, bia, pia chips zinapatikana...hahahah.....wenzao waliweka masinia ya ubwabwa, kweli Igunga kuna mambo!
.
KWa maelezo hayo maana yake
So kama Polisi hawajamuita kufafanua maelezo, Na aelze kwa nini sifa ya umiliki silaha isifutwe kwake then wasihstuke kusikia miaka ya mbele hiyo silaha imeshaua "viumbe" visivyo na na hatia kama tembo bila sababbu teh teh teh
- Polisi inatakiwa wamuite wamuhoji kwa ufafanuzi zaidi
- Ikiwezekana anatakiwa apimwe akili na msomgo wa mawazo na mengineyo.......
- Anatakiwa asiwe na sifa tena ya kumiliki silaha ( kuna sababu zaidi ya tatu )
Hivi Rage alitoka jela mwaka gani vile?
sikumbuki mwaka ila hakumaliza kifungo alipata msamaha wa mkulu.