Where in dar is calabash (my name sake) located please!Aloo mbona unaalika watu kiholela bila ya maamuzi ya vikao?:caked:
....hapa mpwa umemaliza kila kitu...!Uzuri wa baamedi hawana wivu.Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
Where in dar is calabash (my name sake) located please!
Hahahahaha........hapa mpwa umemaliza kila kitu...!
Hahahahaha....
Ndo hivyo mpwa...........Dar Mpaka Moro
Wamejaa kila sehemu......na tabia zao hazitofautiani
Hiyo inategemea Bar na Bar au Meneja na Meneja........... Pale Tip Top....Savannah, ukimwachia meneja buku tatu unaondoka na Baamedi wakati wowote unaoutaka!Walaji wana kazi.....kuwasubiri hadi wamalize kazi saa saba
Hiyo inategemea Bar na Bar au Meneja na Meneja........... Pale Tip Top....Savannah, ukimwachia meneja buku tatu unaondoka na Baamedi wakati wowote unaoutaka!
There is no 'an' addiction, an only used for visible, tangible, or countable single thing, addiction is abstract noun, it's unreasonable where u placed it. Back to topic: Bar maids hawamfuati mwanaume but wanaume ndio wanawafuata, so hata 1000 ukitaka utawapata, so is man himself alivyo jiweka ktk akili yake, bar maids ni cha wote, periodIf you have an addiction keep it going or go to rehab (to your wife that is).
Rafiki, hapo umeguna kwa kushtuka au kwa kujifunza?Mhhhhh!!!!!
Rafiki, hapo umeguna kwa kushtuka au kwa kujifunza?
Hapa nimeguna kwa kushangaa tu rafiki! Siamini kama Babu yangu anaweza kufanya hayooooo.....
Rafiki bana...... kuna sehemu yeyote nliyosema babu mwema mimi huwa nafanya hivyo?
Kuishi kwingi ni kujifunza na kuona mengi.mhhh!!! kwa kweli wewe ni babu mjanja! Sasa kama hufanyagi hayo, hayo mauzoefu umeyapatia wapi jamani???!!!
Haya bana, uwe na siku njema!
Ubarikiwe rafiki............... Usijali. Haya macho yameshuhudia mengi na umri huu...........Nawe ukikua utayaona.mhhh!!! kwa kweli wewe ni babu mjanja! Sasa kama hufanyagi hayo, hayo mauzoefu umeyapatia wapi jamani???!!!
Haya bana, uwe na siku njema!
hivi mtu unakutanaje na mtu cku hiyo hiyo na kulala na kuduu nae cku hiyo hiyo, yaani hamna kinyaa kabisa.
Kinyaa kwa kuwa umekutana naye siku hiyo? mimi napata kinyaa nikizidi kumzoe tena hamu inapungua kabisa, vitu vipya ni vitamu zaidi.
We umeumbwaje Chauro wangu?Mh! basi tumeumbwa tofauti............puuu!