Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamayao - but why? Sidhani kama ni uzinzi - there is something more than that! Watu wanakimbiza magari kutoka maofisini katikati ya mji na break ya kwanza ni LAZIMA mojawapo kati ya sehemu zifuatazo:-
- Rose Garden
- Hongera Baa
- Meeda Bar
- Maryland
- Play Time
- Calabash
- The River Between
- Future Resort
- Stela Matutina
- Costi
= = = = = = = = =
- Tegeta Resort
- Madrid
- PK
- Uptodate
- BM
- By Night
- Why Not
- Zero
- KM
- Vero In
- Family Bar
- Zanzibar
- Fairway
- Nyamachabes
- Sugar Bay
- FyaTanga
- Etienes
- King Star
- Deca In
- Reina Park
- Oceanic
- Sia
- Santori
- Kibira
- Julevu
- Vigae/e.t.c
Why don't they go straight home? Just a Beer or there is also an hidden role played by Bar Maids?
teh teh teh teh ...
I think they are all over aee...
Bar Maids ni muhimu sana katika maisha ya wanaume walio wengi! Na honestly wanaume walio wengi wanafahamiana na Bar Maids wengi kuliko wanawake walio kwenye "proffessions" nyingine..
Kwenye phone book yangu kuna namba za Bar Maids zipatazo 40..
I'm just wondering if this is "Addiction" or what?
ile ya kizungu sana mazeeMkuu,
Kuna ile mpya inaitwa THE RUNWAY pale Shoppers juu kabisa.......
ile ya kizungu sana mazee
Kwa kukonkludi:
Mabaamedi ni wazuri
Mabaamedi si wasumbufu
Mabaamedi hawana wivu wa kijinga
Mabaamedi wako salama zaidi (kinga kwao ni a MUST)
Mabaamedi hawana gharama kubwa....bia tatu, nyama choma na buku tano/kumi ya kumtoa mkataba umeisha...hawahitaji kupelekwa hotelini...gesti bubu au hata kwenye room zao wao hawana noma....
Babu anawazia mabaamedi......Babu amelewa ugoro
Babu anawazia mabaamedi......<font size="3">Babu amelewa ugoro<br>
<br>
<br>
</font>
Babu anawazia mabaamedi......
Usijali.....ya kawaida hayo!bibi anakazi ya ziada
Hapana skulmeti.........ni angalizo tu......kuwa hawa kina mama wana wasaidizi wao kibaoSkulimet - unaua band bana!
Usijali.....ya kawaida hayo!
Hapana skulmeti.........ni angalizo tu......kuwa hawa kina mama wana wasaidizi wao kibao
mwisho wa siku ngoma droo