Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,737
Ndiyo mkuu mwaka huu Raisi nampigia kura Magufuli...nimefurahishwa na uchapakazi wake.Wewe na hip hop zako uko CCM?
Ndiyo mkuu mwaka huu Raisi nampigia kura Magufuli...nimefurahishwa na uchapakazi wake.Wewe na hip hop zako uko CCM?
Mkuu umechangia kama mtu aliyekimbia umande.Usisahau pia aliyepiga aliomba msamaha na kusema angekuwa na uwezo angewashawishi wananchi kumchangia Magufuli pesa za vacation.
Akajikalie huko yeye ampigie kampeni tu akija endelee na kazi yake.
Sio kwamba umemuelewa Mchomvu tofauti na nilivyomwelewa mkuu?Mkuu umechangia kama mtu aliyekimbia umande.
Umesahau kuhusu mambo ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Alikuwa kavaa za chadema.Hiki ndicho kinachotuuma wanaccm. Kwamba aliyepiga hajavaa hata nembo ya CCM na aliyepigwa katupia full CCM.
Mbaya zaidi aliyepiga alikiri hadharani kuwa hakumpigia Rais Magufuli kura mwaka 2015. Inauma sana jamani. Yani tukifungua kila "engo" tunakutana tu na topics za mitama!
Yani tumelipa Tshs milioni 800! Mapato yote yaliyokusanywa kutoka kwa watia nia tumeenda kutupa pale taifa kisha jamaa anachukua points tatu na magoli yote 200! Hapana!
Wasanii wangapi wamechafuka kwa kuambiwa wanavuta bangi??? Bangi ni sehemu ya vifaa vya kazi vya wasanii wengi! Na wasanii na entertainers wengi wanavuta bangi na wanajulikana na hawajawahi kushuka umaarufu kisa wamefichuliwa wanavuta bangi. Hata hivyo kimjini mjini The term "bangi sana" ninavyoelewa haimaanishi mtu anavuta bangi, humaanisha MKALI sana au ANA VITUKO SANA . Huyo Mchomvu atakuwa mshamba na akili zake zina mapungufu. Mtu mzima kumpiga teke au ngumi mtu mzima mwenzako ni wazi ni mshamba na mjinga
Umeonaeeeeee?Tamasha la wavuta bhangi
tulikuwa tunaangalia fiesta ya wasanii bongoKumbe channel za bongo huwa mnaangalia
Alafu Jiwe anatudanganya kuwa ndani ya ccm kumejaa mshikamanoJK alisema hawa achiani maji ya kunywa kwny vikao vyao maana hawachelewi kuwekeana sumu.
Mawazo ya mtu asiye na akili.Hakuna mtu Mwenye akili na aka Support CCM
Piga mtama! Mtama1, mtama 2, mtama 3. Wananchi mumeonaaaaa? Tena Lissu atapiga mtama kwa mguu ulio mbovu jinsi mpinzani wake alivyo dhaifu!Ni ishara ya kiroho ya kipigo kinachokuja kuipata CCM October, chadema watumie ishara ya mtama katika kampeni zao kama kibwagizo
Waitwe kwenye kamati ya maadili ya ccm tuBackstage bifu liliendelea
Mtama kama Tendo, au mtama kama Jimbo, au mtama kama mtama. Maana aliyesema atapiga mtama anatokea jimbo la mtama na si mkulima wa mtama.Ni ishara ya kiroho ya kipigo kinachokuja kuipata CCM October, chadema watumie ishara ya mtama katika kampeni zao kama kibwagizo
Mbasha hii ni laana ya kuchanganya jina la Mungu na utopolo wa ccm. Ona sasa mzigo wako Flora watu wanachapa, wewe nawe unachapwa mitama!