Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Hivi ile Ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza kifo cha Jwani mwakyusa ilishatoka? au uchunguzi bado unaendelea?
JK alisema anataka kuwa dikteta angalau kidogo naona ameanza mazoezi.kwa hiyo udikiteta ndo umeanza. Very soo nchi haitatawalika....
Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
Dah!Kweli Mkuu kwa jinsi hali ilivyo hapa nchini.JF mngekuwa na majina wote tungekuwa Keko na segerea
Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
"Katika mazingira haya
ndimo tunakuta: kamata
mbowe, kamata Slaa.
Kamata Zitto. Bambika
mashitaka. Weka rumande.
Peleka mahakamani… Fungulia mashitaka… kama
jana, kama leo, kama kesho,
kila siku."
Mnayakumbukwa hayo maneno yaliandikwa na mwandishi gani wa mwanahalisi?
Je kinatofauti gani na hali inayoendelea leo nchini kwetu?
Hapa cha msingi ni kukamata makala kadhaa na kuzisambaza ili watu wajue uchochezi huo niwa aina gani.
Ikiwezekana kuprint makala kuzifoto kopy na kuwagawia maaskari ambao hawakuziona ili na wao wapime kama kweli walichochewa kuenenda kinyume na maagizo ya wakubwa wao.
Haja kamatwa ila ameitwa kulisaidia Jeshi la polisi acheni uchochezi nyie mnajua maana ya kukamatwa!!!!!