KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
===============
UPDATES
Habari zilizonaswa sasa hivi kutoka makao makuu ya polisi Dar zinasema Mhariri wa Tz Daima Absalom Kibanda ameachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa na polisi kwa zaidi ya masaa matatu kwa tuhuma za uchochezi. Amedhaminiwa na Mhariri wa Mwanahalisi Saed Kubenea kwa dhamana ya Sh 5,000,000/-. Kibanda anatakiwa kuripoti polisi hqtrs Jumatatu asubuhi.
Hawa watoto wa kufikia wa Lowassa bwana,lakini naona first born kaenda kumdhamini mdogo wake,kweli wanapendana sana siku hizi za karibuni