Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Bishanga chukua hiyo....
Last edited by a moderator:
Una marere wewe....babu jinga!!
Babu jinga na Bishanga vina rhyme....teh teh teh
I hope wewe ni man U,mnapigwa leo na mansite.
Hizi co kauli nzuri Bishanga!
Hizi co kauli nzuri Bishanga!
Watu wakipendana waache wapendane bwana.Umedata wewe,toka Lizzy apigwe bana sidhani kama hata tonge la ugali limeshuka.
Pole.
Mwambie huyo babu jinga
Watu wakipendana waache wapendane bwana.
We manU? mi wigan.
Watu wakipendana waache wapendane bwana.
Mie man u damu!
I know darling, yani tabu tupu. Watu wakipendana lazima litiwe neno, wasipopendana lazima litiwe neno, kweli binadamu hawana jema.Unajua Mama Ashrat hapa duniani kuna watu, viatu, na chatu!!
Unajua Mama Ashrat hapa duniani kuna watu, viatu, na chatu!!
Kama nani na nani?
I know darling, yani tabu tupu. Watu wakipendana lazima litiwe neno, wasipopendana lazima litiwe neno, kweli binadamu hawana jema.
We na mmeo nendeni mkalale.
Haooooo unaowazonga kila kona. Ingekua mimi ndo unamchokonoa chokonoa mume wangu hivyo kila saa, ningekushushua mpaka ushangae!