Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

political monger senior

JF-Expert Member
Nov 26, 2020
1,801
5,788
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Amesikiaaa lakini ana uzoefu mkubwa zana
..labda ukachukue kozi ukocha uje usaidie benxhi pale......
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Mkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mbumbumbu SC fans karibuni tujifariji hapa
JamiiForums-31645776.jpg
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Gamondi atuachie team yetu
 
Mkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
kwa foward ya mzize hata mcheze mwaka mzima aly ahly hamuwezi kuwafunga
 
Back
Top Bottom