nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Boss nakubali kuna wanawake ambao company yao ni wanaume tu; ila si wengi kama unavyozani wanaweza kuwa na just company. Wa hivyo ndio wanaitwa tomboys.
Kuna dada nilisoma nae primary; alikuwa ni extremely beautiful lakini yeye alikuwa na company ya wanaume tu; hata michezo yake ilikuwa football; nyumbani kwao umeme ukikorofisha ana utundu ule wa kiume wa kurekebisha.
Ila kasoro yake tulikuwa tunasikia tetesi kuwa anachukua wanawake wenzie mpaka hao men friends wake wakawa wanamchukia maana anawanyang'anya wasichana wao. Tomboys wengi (si wote) wana ka ulesbian ndio maana hata akilala kitanda kimoja na mwanaume hafeel chochote nini lunch.
Sisi tulio umbwa kike zaidi ngoja tujiepushe na mazingira ya kutaka, kutakana.
Kuna mifano mingine mingi ya wasichana wanaojidai ooh mi company yangu wanaume tu; wakiona msichana yuko na mwanaume ambaye alidai they were just friends anaona wivu sasa huo ni urafiki au upenzi????
Kuna dada nilisoma nae primary; alikuwa ni extremely beautiful lakini yeye alikuwa na company ya wanaume tu; hata michezo yake ilikuwa football; nyumbani kwao umeme ukikorofisha ana utundu ule wa kiume wa kurekebisha.
Ila kasoro yake tulikuwa tunasikia tetesi kuwa anachukua wanawake wenzie mpaka hao men friends wake wakawa wanamchukia maana anawanyang'anya wasichana wao. Tomboys wengi (si wote) wana ka ulesbian ndio maana hata akilala kitanda kimoja na mwanaume hafeel chochote nini lunch.
Sisi tulio umbwa kike zaidi ngoja tujiepushe na mazingira ya kutaka, kutakana.
Kuna mifano mingine mingi ya wasichana wanaojidai ooh mi company yangu wanaume tu; wakiona msichana yuko na mwanaume ambaye alidai they were just friends anaona wivu sasa huo ni urafiki au upenzi????
mhhh thats strange...wanawake wengine hawana ma best friend wa kike....
so inatokea their best friends ni wanaume....