Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
- Thread starter
- #521
Ile ni kupeana tu maarifa..! Mtu akishakufa amekufa...kila kifo hakikosi sababuMshana swali langu jingine nimeona umezungumzia kifo cha gafla lakin hospital wanasema ni shinikizo la damu je wawezaje tambua kifo ni cha utata je huo ugonjwa hauuwi manake SKU izi watu wengi wanakufa kwa huo ugonjwa ina maana wanachukuliwa au