A day in the Buddhist college

Ninakua kama nimerudi Bustani ya Eden, na nilivyofast learner lazma nibadilike, yaani kama ndani ya wiki napata matokeo chanya mbona nazidi kutamani kwenda!!
ila kwa mjini ni ngumu kuyakwepa maji yenye fluoride ujue, labda kama kuna vyanzo vingine ukitoa ya kisima!
Huku mjini sio maji tu kila kitu kiko contaminated, hata ukiamua uchemche mchicha wako na bamia chukuchuku bado hizo mboga mboga nazo huko zilikooteshwa na kukuzwa ni sumu tupu
Nilibaki na mshangao mkubwa nilipoweka mada ya kuhusu mboga mboga za Dar zilivyo hatari kutokana na maji yanayotumika kuzikuza kuna watu wakanipinga mno
 
Lakini sijui kwann mikoani hakuna sehemu zenye kutoa mafunzo kama Dar
Hii kitu kidogo huku mijini inaeleweka labda kutokana na utandawazi na exposure
tetee huko mikoani na vijijini kuna maeneo mazuri hasa ya kufanya hivi vitu lakini hebu niambie wananchi wa huko walivyojawa na imani za kishirikina hili litawezekana kweli?
 
Gmo zimeshamiri saana, hata watu wakienda dukani wanataka mbegu zile za muda mchache, hujakutana na kuku wa kizungu, chips mayai ya kizungu, tunakula sumu kila kona.
Maradhi nayo hayatokaa mbali kila kukicha maradhi yanazidi....sasa tutapataje kupona!?
 
Hii kitu kidogo huku mijini inaeleweka labda kutokana na utandawazi na exposure
tetee huko mikoani na vijijini kuna maeneo mazuri hasa ya kufanya hivi vitu lakini hebu niambie wananchi wa huko walivyojawa na imani za kishirikina hili litawezekana kweli?
Kwa upeo ulipo utaonekama firiimasoni . Hadi uje umuelewesheee umekoma kwa mabango. Maeneo ya kufanyia mazoezi yapo mengi mazurii ujue hadi harufu flan nzuri ya asili unaisikiaa ambayp haipo mjini yaani hata watoto waliozaliwa mjini na hawajatoka hawaijui. Ukiwa huko na u feel kabisa nature.
 
Kwa upeo ulipo utaonekama firiimasoni . Hadi uje umuelewesheee umekoma kwa mabango. Maeneo ya kufanyia mazoezi yapo mengi mazurii ujue hadi harufu flan nzuri ya asili unaisikiaa ambayp haipo mjini yaani hata watoto waliozaliwa mjini na hawajatoka hawaijui. Ukiwa huko na u feel kabisa nature.
Afadhali ya mabango mitaa ya Tarime msipokula shoka ni moto
 
Upande wa confiscius ushaandika uzi wake?
Hapana japo naiongeleaga kidogo ni mafundisho fulani very complicated, lakini ukiyapatia ni mazuri na rahisi sana...confiscious anaongelea vitu vidogo vidogo sana lakini vyenye mantiki kubwa sana
Msingi wa confiscious ni familia msingi wa familia ni baba nguvu ya baba ni mama umoja wa familia ni watoto....hiki kikundi kidogo hiki kikipatana na kuungana na vikundi vingine kumi vilivyoungana na kupatana unapata kijiji kimoja chenye nguvu sana...sasa endelea vijiji viunde kata kata ziunde tarafa tarafa ziunde wilaya wilaya ziunde majimbo/mikoa , nayo yaunde taifa moja lenye msingi mmoja nguvu moja na umoja wa wote...hakuna kitakachoshindikana hapo
Ni elimu ya maarifa yenye maono makubwa na ya mbali umoja na mshikamano
Leo hii kwa mfano tumeligawa taifa bila kujijua
Tuna vyama vya ushirikiano wa watu fulani au kabila fulani nk
Tuna vyama vya siasa
Tuna vyama vya wanawake kina baba vijana nk nk
Tuna makundi kwenye mitandao ya kijamii ya kila sina
Yani ni mvurugano mwanzo mwisho
Tuachane na hayo hebu tafuta Analects: Way and it's powers
 
Hapana japo naiongeleaga kidogo ni mafundisho fulani very complicated, lakini ukiyapatia ni mazuri na rahisi sana...confiscious anaongelea vitu vidogo vidogo sana lakini vyenye mantiki kubwa sana
Msingi wa confiscious ni familia msingi wa familia ni baba nguvu ya baba ni mama umoja wa familia ni watoto....hiki kikundi kidogo hiki kikipatana na kuungana na vikundi vingine kumi vilivyoungana na kupatana unapata kijiji kimoja chenye nguvu sana...sasa endelea vijiji viunde kata kata ziunde tarafa tarafa ziunde wilaya wilaya ziunde majimbo/mikoa , nayo yaunde taifa moja lenye msingi mmoja nguvu moja na umoja wa wote...hakuna kitakachoshindikana hapo
Ni elimu ya maarifa yenye maono makubwa na ya mbali umoja na mshikamano
Leo hii kwa mfano tumeligawa taifa bila kujijua
Tuna vyama vya ushirikiano wa watu fulani au kabila fulani nk
Tuna vyama vya siasa
Tuna vyama vya wanawake kina baba vijana nk nk
Tuna makundi kwenye mitandao ya kijamii ya kila sina
Yani ni mvurugano mwanzo mwisho
Tuachane na hayo hebu tafuta Analects: Way and it's powers
Nitafanya hivyo ila quotes za hiyo teacher nimeziona
 
Nimesoma huu uzi Usiku mzima na ndio nimemaliza. Nina maombi yafuatayo: -
1. Ni-tag kwenye nyuzi ulizotaja na mpya.

2. Bado nashauri kutudonolea haya maarifa
 
Unamaanisha meditation? Maisha yetu chuoni yalijaa meditation lakini ile ya kukaa kimya kwenye lotus posture (yenye maumivu mengi sana) ilikuwa ni dk 50 kila siku lakini pia tulikuwa na meditation retreats za siku 3,5 na 7
Hivi meditation siyo against na Mungu kweli?
 
Nimeipenda sana hii, Good for you bro!
Wakati unatype hii habari ulikuwa unasinzia???

Haieleweki

Kuhusu swala hilo linajulikana tatizo ninyi bado mnaenda kufanya nini pale

attachment.php


Hapa ndio chuo nilipoanzia kujifunza mambo ya Buddhism, meditation, chanting nk. Hii ni picha ya mwaka 1997, na hiyo ni sehemu ya wanachuo.

Hiki kilikuwa ni chuo kugumu na chenye sheria kali kuliko jeshi, tulikuwa wanachuo 21 toka Tanzania lakini tulifanikiwa kumaliza chuo tulikuwa kumi tu na mwishoni watano.

Tulipewa kila kitu bure lakini vinavyofanana kuanzia nguo mpaka dawa ya mswaki. Tuliishi maisha ya useja(total celibacy) huku tukiziadhibu hisia kwa kiwango cha juu mno.!

Tulikuwa kwenye self cultivation (bringing back the scattered mind)Na hii ndio ilikuwa ratiba ya siku moja inayojirudia mara sita kwa wiki.

05:40 kuamka kutandika vitanda na kupiga mswaki/kuiga

05:50 parade/rollcall

06:00-0650 chanting/meditation

06:50-07:00 parade/rollcall na kwenda dining hall kimya na kwa mistari bila kuangalia kulia wala kushoto

07:20 chanting n giving offerings kwa milefo,na hungry ghost kisha breakfast

07:20-07:50 usafi

07:50-8:00 parade/roll call na kuingia darasani

Vipindi vilikuwa ni dk 50 mapumziko dk 10 kuanzia saa mbili mpaka saa tano na dk 50

11:50-12:00 parade/ roll call na kumatch kwa mistari iliyonyooka kwenda dining

-Kuchant kutoa offerings kwa Milefo(future buddha?), hungry ghosts na kisha kula

12:00-13:50-lunch, walking meditation na kupumzika

13:50-14:00 parade roll call na darasani mpaka saa 15:50

15:50-16:00 parade roll call na kubadili nguo

16:00-16:50 martial arts, kung fu karate tai chi nk

16:50-17:50 free time hapa ndio sasa mnaweza kupiga soga na kuendelea na martia arts gym library etc

17:50-18:00 parade rollcall na kumatch kwenda dining

18:00-18:50 chanting offerings kwa Buddha na hungry ghost na kupata dinner

18:50-19:00 parade roll call

19:00-20:50 darasani

20:50-21:50 meditation/chanting

21:50-20:00 kurudi vyumbani kwa kumatch kwenye mistari tena kimya, kuingia vyumbani kuzima taa na kulala
Ukionekana nje baada ya hapo ni majanga

Chuo kiliongozwa na sheria kwenye kila kitu, sheria ya kutumia Maji, kutembea, kuongea kukaa kula kugeuka kulala, kutandika kuvaa etc kila kitu kilikuwa ni sheria na ndio maana wengi sana walishindwa maisha yale
Hii picha ni jinsi tulivyokuwa tunakaa mstarini kila mtu na nafasi yake kwahiyo hata kama haupo nafasi yako inabaki wazi.

View attachment 274159
 
74 Reactions
Reply
Back
Top Bottom