Naam! mshana jr uwe unanitag.
Mambo yangu haya
Nimeona notification design ka umenimention vile but nimeclick nikakuta holaaa! Lol
Kitu chochote kinachoficha sura kina Siri kubwa
Mshana naomba utueleze matukio matatu uliyowahi kukutana nayo safarini
Tukio lililokutisha sana
Tukio lililokushangaza sana
Tukio lililobadilisha sana akili yako
Tukio la kutisha sana lilikuwa lile la kuhudhuria ibada ya Shetani
Tukio la kushangaza sana ni la maiti kusimama mochwari
Tukio la mwisho ni makumbusho ya kanisa la kwanza Taiwan kwenye mji wa Tai Jong lilikuwa dogo Sana likitunzwa na serikali
Fuatilia story yote utajua tuu
Doh. Nilikuwapo na ww toka day one kimya kimya tho. Poa mkuu, nilijikuta navutika na hao mabudha ukizingatia miaka hyoo nilizoea kumuona yule budha wa 'journey to the west' na wasaidizi wake ila nilikuwa sielewi elewi mambo. At least sasa naunga vidot kidogo
Poapoa nitaendelea kwa style ya kujibu maswali yatakayokuja na kutoa ufafanuzi pale itakapohitajika kufanya hivyo
Endelea rafiki,mi nimeshachoka na maneno ya siasa huku mtaani na hapa jf.kila kukicha tunapiga kelele kuwapaisha watu wakati wakishaenda mjengoni na huku majimboni wanahama wanakuja huko Dar! Ah bora tuendelee kuelimishana hapa
Poapoa nitaendelea kwa kipande kifupi changamoto nilizokutana nazo baada ya kurudi nchini