chrissleon
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 147
- 89
Nipo safarini nikirudi nitafanya hivyo
Nimefanikiwa kukiweka lakini bila picha ambazo bado Ila zitakuja
Nimeiona mkuu kule MMU ila angalia usije ukawafanyia vitimbwi abiria wenzako maana hamuaminiki, mtu akiweza kuishi na wewe lazima awe na uwezo wa kutazama na kutambua vitu kwa jicho la tatu ndio ata ishi vzr bila ya hvyo anaweza akafikiri anaishi na jini.