Baadhi ya wasanii wetu wanafanya kazi kubwa sana na bahati kazi hizo haziwalipi kulingana na ukubwa huo. Ifike mahala wasizugwe na hizi tuzo,kubwa zaidi wasaidiwe kwa dhati ili malipo yao yaendane na kazi zao. Hapa wametangaza tu biashara za wengine.
ki ukweli wana jf uyu jamaa noma na kafunika mimi binasfi nilianza kumjua pale alipo wafungua masikio ma balozi wa njee kwa nyimbo inayo muelezea kijana wa tanzania alivyo choka na maisha ya kunga(kijani ukumcheki) unga hadi wakabidi wamulize preznt, pili mama nema, tatu mane mane,nnr bange, malumbano, na tamaa mbaya kiukweli ni ushindi kweyu sote kutokana na kuelimisha jamii na kueleza reality ya maisha ya wengi vijana wa Tz yani ma SHALOBALO SHEM UPON THEM kwa vijinimbo vyao vya kusadikika na kufikilika( mpenz jini,mpenz fulani yani jina tu ninabadilika maneno yote yale yale, kuonyesha wanaisha kifahali wakati walio wengi tunawafahamu ni ziki tu zinawaandama(si tondo ccm, mtoto wa jk nk):angry:
Sipendi Bongo Flava hata kidogo............................Lakini huyu mtu uwa nahisi alilelewa maisha magumu sana na ndio maana hataki kulemba.Good 20%
Jamaaa yuko simple full ujumbe, ukisikiliza wimbo wa money money, mama neema,ya nini malumbano na tamaa mbaya utajua huyu jamaa mashairi yake yako next level.Anastahili hizo tuzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.