Wasiokubali ni watoto wajingawajinga ambao wanapenda nyimbo za kurembua macho...
Unategemea watoto wa Fb WATAPENDA MTU ANAYEWACHANA KUWA "tamaa mbaya"?...
20% kumlinganisha na wanabongofleva wengine ni kama kulinganisha mbingu na ardhi!
Ndio maana waswahili husema Mungu si Athumani bwana chokoraa.
Hayo yote sina tatizo nayo, ila kwa sasa 20% ndio chokoraa na haniwakilishi mimi wala watoto wangu, na hizo awards zenu ni zakichokoraa tu.
teh teh! Unajua bana, kuna chokoraa wengi tu ambao Baba zao ni matajiri. Halafu cha ajabu sasa ...kuna matajiri wengi tu ambao akili zao ni za kichokoraa. Dunia sijui ikoje bana. Dah! lakini ukisoma posts zao utaelewa. God Bless wale woote wanaoteseka na mifumo kandamizi.
Hayo yote sina tatizo nayo, ila kwa sasa 20% ndio chokoraa na haniwakilishi mimi wala watoto wangu, na hizo awards zenu ni zakichokoraa tu.
hata zingekuwa kumi jamaa anastaili mana tushachoka na wabana sauti siku mbili nyimbo inakukinahi
Hili neno ndilo nisilolitaka na wala sio mambo ya tuzo maana hata sitaki kuyajua.....halifai kabisa katika dunia hii tena kwa kutumika na mtu mwenye akili timamu
Do you know how many people are you offending?
Unajua uchungu wa maisha hayo kweli au kwa sababu umekulia "baba kaleta"
It will eat and rot you for life.......wewe ni mbaguzi, tena kwa kundi underprivilaged linalohitaji support na comfort ya jamii