20% na Kili Awards

Wangempa hata tuzo 200, Watu kila siku wanaimba mapenzi, 20 pasenti anajua wito wake kama msanii sio wale wa " Unanikumbuka tulisoma kidato kimoja"
 
anayempinga shauli yake lakini mimi kura yangu ilifanya kazi ya nguvu
 
Wasiokubali ni watoto wajingawajinga ambao wanapenda nyimbo za kurembua macho...
Unategemea watoto wa Fb WATAPENDA MTU ANAYEWACHANA KUWA "tamaa mbaya"?...
20% kumlinganisha na wanabongofleva wengine ni kama kulinganisha mbingu na ardhi!

umeongea pwent. Fb imejaa sharobaro
 
hongera sana alwatain twenty pa!, unastahili hizo tuzo, ila ungekuwa ukumbini ingenoga zaidi, nakukubali sana.
 
Hayo yote sina tatizo nayo, ila kwa sasa 20% ndio chokoraa na haniwakilishi mimi wala watoto wangu, na hizo awards zenu ni zakichokoraa tu.

Sio lazima akuwakilishe wewe wala wale ambao hawakumpigia kura. Cha muhimu kuna wengi sana anawawakilisha na ndio waliomwezesha kushinda hizo tuzo tano.
 
hata zingekuwa kumi jamaa anastaili mana tushachoka na wabana sauti siku mbili nyimbo inakukinahi
 
teh teh! Unajua bana, kuna chokoraa wengi tu ambao Baba zao ni matajiri. Halafu cha ajabu sasa ...kuna matajiri wengi tu ambao akili zao ni za kichokoraa. Dunia sijui ikoje bana. Dah! lakini ukisoma posts zao utaelewa. God Bless wale woote wanaoteseka na mifumo kandamizi.

Thanks, ngoja niitoe tena na hapa tu
 
Hayo yote sina tatizo nayo, ila kwa sasa 20% ndio chokoraa na haniwakilishi mimi wala watoto wangu, na hizo awards zenu ni zakichokoraa tu.

...So, why trouble yourself to comment about our Chokoraa awards??? Come to think about it, why are in this this thread about our chokoraa awards?? I smell Ulimbukeni on you sister...!
 
hata zingekuwa kumi jamaa anastaili mana tushachoka na wabana sauti siku mbili nyimbo inakukinahi

...Samahani natoka nje ya mada kidogo....Amen, amen I say unto you, Truly YOU are GORGEOUS....Now, :focus:
 
Kabla sijajua " Tamaa mbaya " kapiga 20% nilikuwa naufanyia kazi ule mstari anaosema "Tambua mahitaji Yako" nikagundua tungeishi kihivi hata ufisadi usingekuwepo.
 
upo juu 20% hamna kama wewe kwa sasa
ulistahili kabisa hizo tuzo sio masharobaro wabana pua
 
Huwezi jua. Achana nae inawezekana ni mmoja kati ya wasanii walokosa tuzo

Hili neno ndilo nisilolitaka na wala sio mambo ya tuzo maana hata sitaki kuyajua.....halifai kabisa katika dunia hii tena kwa kutumika na mtu mwenye akili timamu

Do you know how many people are you offending?

Unajua uchungu wa maisha hayo kweli au kwa sababu umekulia "baba kaleta"

It will eat and rot you for life
.......wewe ni mbaguzi, tena kwa kundi underprivilaged linalohitaji support na comfort ya jamii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom