Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
kama mnakumbuka majuzi niliweka hapa ushuhuda ya rafiki yangu mmoja aliyejikuta akiishi katika mazingura magumu siku na tarehe kama ya leo miaka adhaa iliyopita. la kutia moyo ni kuwa MUNGU ALIINGILIA KATI HISTORIA YA MAISHA YAKE na kwa rehema kuu alimtoa humo na sasa ana ushuhudua wa mafanikio makubwa sana kielimu................ kwa story kamili soma kwenye link hii hapa chuni:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/55201-sikieni-story-ya-rafiki-yangu-huyu.html
leo ndio kilele cha siku yake hiyo ya ushuhuda. naomba mimi na wewe tutafakari yafuatayo:
1.
je wadau mbalimbali kama wazazi, ndugu, jamaa na marafiki na jamii nzima wana nafsi gani kuzuia janga hili ? na je wafanye nini?
2.
je, juhudi za serkali kupitia wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto inayo mikakati endelevu ya kushughulikia suala hili la watoto wa mitaani? je ifanye nini?
mwisho natoa ombi kwa wanJF wote kuangalia namna itakayofaa kwa miaka ijayo kujitolea kama sehemu ya huduma kwa jamii kutenga angalau siku oja kwa mwaka kutafakari tatizo la watoto waishio kwenye mazingira magumu na nini kifanyike kupunguza kama sio kumaliza tatizo hli
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/55201-sikieni-story-ya-rafiki-yangu-huyu.html
leo ndio kilele cha siku yake hiyo ya ushuhuda. naomba mimi na wewe tutafakari yafuatayo:
1.
je wadau mbalimbali kama wazazi, ndugu, jamaa na marafiki na jamii nzima wana nafsi gani kuzuia janga hili ? na je wafanye nini?
2.
je, juhudi za serkali kupitia wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto inayo mikakati endelevu ya kushughulikia suala hili la watoto wa mitaani? je ifanye nini?
mwisho natoa ombi kwa wanJF wote kuangalia namna itakayofaa kwa miaka ijayo kujitolea kama sehemu ya huduma kwa jamii kutenga angalau siku oja kwa mwaka kutafakari tatizo la watoto waishio kwenye mazingira magumu na nini kifanyike kupunguza kama sio kumaliza tatizo hli
KAULI MBIU
CHOZI LA DAMU................WAZAZI WAKIAMUA WANAWEZA KILIFUTA
tafadhari sikiliza wimbo kamili wa CHOZI LA DAMU kama ulivyoimbwa na RC-PAROKIA YA MAKUBURI- DSM. wimbo huo unapatikana kwenye website hii ya Jamii Forums (BONYEZA PALIPOANDIKWA "INJILI") na pia kwa maadishi kwenye post #10 kwenye link hiyo hapo juu.
MUNGU AWABARIKI SANA