Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,418
- 9,806
Kausha damu ni shida kwa kweli hata kama mwanaume una hela kuombwa ombwa kila siku ni kero na mbinu yao sasa hivi wanasema nikopeshe kiasi fulani ukitoa tu iyo hela kamwe hautalipwa. Kuna mmoja aliomba nimkopeshe atanirudishia asubuhi akitoka akitoka kudanga, yaani sasa hivi ukahaba ni mchongo ambao wakina dada wanaombea kabisa mkopo kama waajiriwa. Astaghafilurah.!
Kama demu haujawasiliana nae kwa siku kadhaa siku ukipata sms yake ya salamu "mambo" ukijibu tu iyo ujue kinachofuata ni kuombwa hela. Kausha damu ni tatizo ambalo limeashaanza kuota mizizi kwenye jamii. Ningekua na mamlaka ningeamuru wakusanywe kausha damu wote watumbukizwe kwenye tanuri la moto kama Hitler alivyowafanyia wayahudi.
Unakuta mwanamke hajawekeza chochote kwako. Hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri wa maana, hajawahi kukupa connection ya kupiga hela yaani mmechat tu text mbili tatu out of nothing anaanza kuomba hela, this is disgusting.
Tumeamua kuwa wapenzi basi tupeane mapenzi sio hela. Ikiwa unataka hela kafanye kazi kama hauna kazi basi muombe hela baba yako, uyo ndie anapaswa kuwajibika kukuhudumia kama bado haujaolewa.
Kama demu haujawasiliana nae kwa siku kadhaa siku ukipata sms yake ya salamu "mambo" ukijibu tu iyo ujue kinachofuata ni kuombwa hela. Kausha damu ni tatizo ambalo limeashaanza kuota mizizi kwenye jamii. Ningekua na mamlaka ningeamuru wakusanywe kausha damu wote watumbukizwe kwenye tanuri la moto kama Hitler alivyowafanyia wayahudi.
Unakuta mwanamke hajawekeza chochote kwako. Hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri wa maana, hajawahi kukupa connection ya kupiga hela yaani mmechat tu text mbili tatu out of nothing anaanza kuomba hela, this is disgusting.
Tumeamua kuwa wapenzi basi tupeane mapenzi sio hela. Ikiwa unataka hela kafanye kazi kama hauna kazi basi muombe hela baba yako, uyo ndie anapaswa kuwajibika kukuhudumia kama bado haujaolewa.