watu 15

The Western Approaches Tactical Unit (WATU) was a unit of the British Royal Navy created in January 1942 to develop and disseminate
new tactics to counter German submarine attacks on trans-Atlantic shipping convoys. It was led by Captain Gilbert Roberts and was principally staffed by officers and ratings from the Women's Royal Naval Service (Wrens). Their primary tool for studying U-boat attacks and developing countermeasures was wargames. After the U-boat threat to merchant shipping was defeated, WATU continued to develop anti-submarine tactics for later stages of the war, including Operation Overlord and the Pacific War. WATU trained naval officers in its tactics by hosting week-long training courses in which the students played wargames. WATU formally ceased operations at the end of July 1945.

View More On Wikipedia.org
  1. Papaa Mobimba

    Polisi: Watu 15 wafariki dunia kwa kusombwa na maji kuanzia Aprili 1 - 7

    TAARIFA KWA UMMA Kuanzia Aprili 1,2024 hadi Aprili 7,2024 watu 15 wamefariki dunia kutokana na kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha, wengine wakiwa wanaogelea, wengine wakiwa wanavuka maeneo ambayo maji yanatiririka kwa kasi na wengine kutokana na kutumbukia kwenye mashimo/madimbwi...
  2. Restless Hustler

    Huzuni Nyingine Yaikumba Arusha: Ajali Yachukua Roho Za Watu 15 Jioni Hii

    Watu 15 wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari kubwa aina ya Scania kufeli breki na kwenda kuparamia magari mengine katika eneo la Kibaoni Ngaramtoni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha. Ombeni Kirusha ambaye ni Shuhuda wa tukio hilo amesema “Kilichotokea ni ajali, nilikuwa na gari...
  3. benzemah

    Rais Samia atuma Salamu za Rambirambi kufuatia vifo vya watu 15 ajali ya Gari mkoani Lindi. Atoa Maagizo

    Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. "Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa...
  4. BARD AI

    Kimbunga Freddy chaua watu 15 Malawi

    Polisi nchini Malawi wamesema takriban watu 15 wamefariki na wengine 16 hawajulikani walipo kutokana na uharibifu uliosababishwa na dhoruba ya kitropiki Freddy. Pamoja na kukatika kwa mawasiliano bado haijulikani ukubwa kamili wa uharibifu na idadi ya waliojeruhiwa. Polisi wamesema watu...
  5. BARD AI

    UPDATE: Mshukiwa wa mauaji ya watu 10 kwa Kisu akutwa amefariki

    UPDATES: Polisi wamethibitisha kuwa mwili wa Damien Sanderson, mmoja kati ya washukiwa wawili waliohusika na mauaji siku ya Jumapili huko Saskatchewan umepatikana katika eneo la James Smith Cree Nation. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, washukiwa hao wawili ni ndugu na tahadhari imetolewa kuwa...
Back
Top Bottom