ukanda wa pwani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elon J

    Mikoa ya Ukanda wa Pwani kwa chumaulete hawajambo!

    Chumaulete kwa mikoa mingi ya Ukanda wa Pwani ni kama pension kwa wazee! Sijui ni kwasababu ya uvivu, kutopenda kujishughulisha na kazi especially kwa wanzee japo kuna hata vijana nao wana hizi tabia. Yaani usiombee ufungue biashara kwenye hii mikoa mfano Dar (pembezon mwa mji) ambapo wenyeji...
  2. R

    Tahadhari ya vipindi vya upepo mkali na mawimbi makubwa Dar, Ukanda wa Pwani

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa taarifa hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 kuwa kutakuwa na vipindi vya upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa katika Pwani ya Bahari hindi na kutoa angalizo kwa watu kuchukua tahadhari. “Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzanzania inatoa angalizo la vipindi...
  3. LUKAMA

    Ukanda wa Pwani kwa umbea ni hatari

    Yaani nipo mkoa x wa pwani ya Tanzania watu wahuku ni hatari kwaumbea, kupigana na kurogana, watu hawa wote ni majirani zangu na wate waabudu dini ya mudi. Me nimejitokea mkoani huko ambako kila mtu hana time na mwenzake, wapo vizuri kwa kulazimisha urafiki ili wapate kukusema vizuri na...
  4. Yesu Anakuja

    Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

    Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu. Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa Tanzania; Kama Mwanamke hajawahi fika Ukanda wa Pwani ni hakika Hajui Kupika chakula kitamu

    Kwema Wakuu! Kuna watu watabisha Kwa ubishi wao tuu lakini kimsingi na kitaalumuna unapozungumzia mapishi Kwa nchi yetu basi hapo utakuwa unazungumzia ukanda wa Pwani. Kama unaishi maisha ya kawaida Kurudi ufukara na hujawahi kuishi Maeneo ya Pwani na hapa nazungumzia DAR es salaam, Pwani...
  6. kimsboy

    Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

    Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe? Hii kanda sijui ina matatizo gani Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala...
Back
Top Bottom