tetemeko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elli

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu? Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC) -- Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
  2. Sigara Kali

    Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

    Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
  3. Victor Mlaki

    Usiku huu saa 00:9 Mkoani Geita tetemeko la ardhi limetokea lililochukua muda wa kama dakika 2.

    Nimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanabweka kuashiria tukio hilo. Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu. Kwa majibu wa US Geological Survey tetemeko hili linaonekana kuwa na kiwango...
  4. chiembe

    Tuzidishe maombi ili corona iyeyuke, fedha zinazochangwa zitunzwe zikajenge hospitali au shule ya kisasa, Bukoba wanafaidi shule ya hela za tetemeko

    Nahimiza watanzania tupige gombo la kutosha, tufanye maombi Mungu atajibu. Tukeshe mabarabarani, makanisani, misikitini na kila mahala. Hakuna haja ya kupoteza hela zinazochangwa kupambana na corona, pesa hizo zikusanywe ziachwe baadae zitumike kujenga mashule na hospitali. Yalichangwa...
  5. barafu

    Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

    Kwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa. Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali...
Back
Top Bottom