Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
Nimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanabweka kuashiria tukio hilo.
Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu.
Kwa majibu wa US Geological Survey tetemeko hili linaonekana kuwa na kiwango...
Nahimiza watanzania tupige gombo la kutosha, tufanye maombi Mungu atajibu. Tukeshe mabarabarani, makanisani, misikitini na kila mahala.
Hakuna haja ya kupoteza hela zinazochangwa kupambana na corona, pesa hizo zikusanywe ziachwe baadae zitumike kujenga mashule na hospitali.
Yalichangwa...
Kwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa.
Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.