mwanasayansi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Erasto Mpemba: Mwanasayansi aliyefariki bila kuthaminika nyumbani Tanzania

    Erasto Bartholomeo Mpemba (1944 - 2023) alikuwa mwanasayansi kutoka nchi ya Tanzania aliyegundua tabia ya pekee ya maji inayojulikana leo kwa jina la athari ya Mpemba (kwa Kiingereza Mpemba effect). Jina hili linaeleza tabia ya maji kuganda kwa haraka zaidi yakiwa ya moto kuliko maji ya baridi...
  2. Mkurya romantic

    Mpemba Effect iliyozaliwa Tanzania na kuhamia ughaibuni!

    Katika orodha ya watu muhimu waliofariki nchini mwaka 2020, Jina la Erasto Barthlomeo Mpemba halimo! Watu waliofariki mwaka huo, na misiba yao kuadhimishwa kitaifa mwaka huo, wamo Rais mstaafu Benjamin Mkapa, John Kijazi, Mchungaji Rwakatare, Jaji Agustino Ramadhani, Waziri Agustine Mahiga—wote...
  3. SANCTUS ANACLETUS

    Maajabu ya Musa na Firauni: Tulimuona Raisi Magufuli “mshirikina” katika Suala la Uviko-19 na Sasa tunamuona “mama” Mwanasayansi katika suala la Mafut

    Ni lazima tuelezane ukweli wote watanzania. Muda wa kupewa Peremende kama Watoto wadogo kama njia ya kunyamazishana ilhali mahitaji yetu ni makubwa hayavumiliki na yanachosha.Kama ni mambo ya uchawa basi ni uchawa wa kishamba sana. Nina jambo nataka tufichuane akili. Tupeane Mangwa. Tusadiane...
  4. SANCTUS ANACLETUS

    Tulimuona Raisi Magufuli “mshirikina” ktk Suala la Uviko-19 na Sasa tunamuona “mama” Mwanasayansi ktk suala la Mafuta

    Ni lazima tuelezane ukweli wote watanzania. Muda wa kupewa Peremende kama Watoto wadogo kama njia ya kunyamazishana ilhali mahitaji yetu ni makubwa hayavumiliki na yanachosha.Kama ni mambo ya uchawa basi ni uchawa wa kishamba sana. Nina jambo nataka tufichuane akili. Tupeane Mangwa. Tusadiane...
  5. chiembe

    Nyambura Moremi; Mwanasayansi bora aliyefutwa kazi na Rais Magufuli kwa kusimamia ukweli kuhusu vipimo vya virusi vya Corona

    Mama Samia amejibainisha kama Rais anayeheshimu utaalamu. Samia ni tofauti na JPM, JPM japo alisoma sayansi mpaka PhD (kama ni kweli) aliyofundishwa na waalimu wake yote aliyakataa akiwa Rais. Nyambura Moremi ndiye alikuwa akishughulika na kupima virusi vya corona, na kutoa kwake taarifa za...
  6. Mchokoo

    Tumuunge mkono mwanasayansi Masoud Kipanya

    Kwa moyo wa dhati najivunia hiki ulichokifanya ndugu yangu. Ni mwanzo mzuri kuliko awali ya magari mengi yaliyopo sasa duniani Ninachokiomba kwa watanzania wenzangu; ni tumuunge mkono mwenzetu ili afanikishe maono yake. Gari la Masoud siyo kwa ajili yake binafsi. Ni kwa faida ya taifa letu na...
Back
Top Bottom