machoni

Antonio Machoni or Antonio Maccioni (1671–1753) was an Italian Jesuit, linguist and cartographer.

View More On Wikipedia.org
  1. mwanamwana

    SI KWELI Ukikutana na Simba, ukimtazama machoni huona aibu na kuondoka

    Nani asiyemjua mbabe Simba mfalme wa nyika? Yaani ukutane naye paaah! Utamzame machoni aone aibu na kuondoka? Bado siamini hili jambo naona hawa vijana wa ovyo wanataka kuniingiza chaka siku nikikutana naye mbashara nisichukue njia nyingine za kujiokoa eti nimtizame. Hivi kweli Simba huyu kweli...
  2. Annie X6

    Msaada mtoto ameweka BBE machoni

    Naomba msaada huduma ya kwanza ni ipi. Mtoto mwenye umri wa miaka 6 ameweka BBE machoni pale, sasa kabla hajapelekwa hospital amesafishwa kwa maji macho yake. Je, wana JF kuna kitu Kingine cha kufanya? Msaada tafadhali
  3. D

    Ni muda Sasa sijamtia machoni wala kumsikia huyu Mwamba, kulikoni?

    Wana wema, Ni muda sasa sijamtia machoni wala kumsikia hata kumsoma magazetini isiyo kawaida yake. Namzungumzia Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Komredi Abdulhaman Kinana. Hata sakata la DP World hajasikika na ziara za mikoani hayupo. Si kawaida kukaa kimya kwenye mambo haya japo naye anamiliki...
  4. Ibun Sirin

    Zongo ni aina ya uchawi unaokaa machoni

    Siku zote uchawi hauwaminiki uwepo wake au nguvu yake ispokuwa kwa wale waliodhurika nao. Mwenye nao akikuangalia tu utaumwa tumbo hadi kufa, au akikiangalia chakula hata kipikweje hakiivi na kikiiva kinakuwa hakina ladha kabisa na watakaokila lazima matumbo yawaume sana halafu waharishe sana...
  5. K

    Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

    Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho...
  6. EvilSpirit

    Hii sura sio ngeni machoni petu

    Sijui tulimuona wapi vile
  7. Kasomi

    Taliban na Afghanistan: Nini hatima yake machoni mwa kiitwacho Jumuiya ya Kimataifa

    Talibani Na Afghanistan. Nini Hatima yake Machoni mwa Kiitwacho Jamii ya Kimataifa (Nchi za Magharibi na Marekani)? Afghanistan Yenye Majimbo 34, Wilaya 421, Watu Milion 38. Je, Katika Hii Mikono ya Mapinduzi ya Taliban dhidi ya Rais Ashraf Ghani? Nini itakuwa Hatima ya Afghanistan...
Back
Top Bottom