Like for Likes (Korean: 좋아해줘) is a 2016 South Korean romantic comedy film directed by Park Hyun-jin. It was released in South Korea on February 17, 2016 by CJ Entertainment.
wakuu ni aje.
Kama kichwa cha habari kinavyojeleza hii ndio post yenye likes nyingi hapa Jf tangu ilipoanzishwa👇
Kama kuna post unahisi ina likes nyingi kuzidi au zinafuatia share hapa
Imekuwa too much sasa, video unaicheki youtube unaanza kusoma comments za mrejesho, ushauri, ukosoaji, nyongeza, n.k.
Ila unakutana na comments za kuomba likes.
Wanakera sana hawa watu
Uki comment cha maana utapewa like bila kuomba,
Nilishatabiri mwamba wa hii Afcon ni Cape Verde.
Sasa mtaniamini mtapoona South Africa yule kenge msupport magaidi wakipalestina anakalishwa mpaka anaomba poo pale mtondogoo...
Mimi ni Octopus Paul nimemtabiri Cape Verse mechi zote na sijakosea hata moja.
Hili kombe linaenda kwa underdog
Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
Huyu Mwamba anatisha sana huko Instagram anafikisha likes Milions na Comments nyingi, kuliko kina Diamond na wala haringi, wala Watanzania hawamjui kivile.
Big up sana Mwamba kwa ubunifu uliotukuka.
Watu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake. Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director, manager na wafanyakazi wote wa JF.
ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor
Lovelovie Chakorii...
mkwepu jr
Huyu jamaa azawadiwe hiyo tuzo na atambulike kuwa ndiye memba anaye mwaga likes kuliko members wote humu.
Kama unabisha andika jina la memba mwingine ambaye unadhani anamwaga likes kwa kila comment ama thread anayokutana nayo.
Weekend njema wote ambao mmeshaanza kulewa.
Weekend...
Hii ni hatari watu Sasa hivi wanafanya upuzi kutafuta sifa za kijinga YouTube na TikTok. Kwenye hii video licha ya kuchekesha ingeleta madhara. Angalia nyundo ingemvunia Taya. Ujinga unaochekesha
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu...
SIMULIZI INAYOWEZA KUBADILI MAISHA YAKO KWA ZAIDI YA 79%
▪"Kwa Kweli Mwenyezi Mungu hakukosea Kabisa Kuniumba. Tazama Uso Wangu unavyong'ara, Ngozi Nyororo, Jicho Zuri kuliko la Ray C, Kila Nguo inanikubali hata nikivaa Gunia na Dekio, hakuna kama Mimi hapa Mtaani na Kule Mtandaoni, Mwonekano...
Hapa sizungumzii warembo maarufu kama kina mobeto ambao watu wengi tunawajua, nazungumzia mabinti ambao ni raia wa kawaida tu, followers hata hawazidi elf 1.
Wengi ni wadogo wa marafiki zangu ambao nimewafollow ama majirani, marafiki zao, n.k
Ni mda mrefu sana nimekuwa nakutana sana na likes...
Nimekuwa nikishangaa sana kiasi kufikia mpaka kuona aibu kwamba naishi na jamii ambayo ipo nyuma sana kwenye maswala ya teknolojia. Haya mambo ya kununua youtube views katika ulmwengu huu yapo tangu zaidi ya miaka 10 lakini inatia aibu kwamba hata baadhi ya wasomi wameuwa wabishi,
Watu kununu...
The 7 Signs That Shows That A Girl Likes You
Sometimes a woman likes the signs that you are things she intentionally does and other times they are subconscious. Whether she means to or not, if you ask her out, she will send you pretty clear hints about how she heels about you, and what her...
Kwa wale wanaopenda kuboost account zao za instagram kwa personal uses au biashara unaweza kutumia telegram kutimiza lengo lako.
Pitia hapa kidogo
"
Also known as Telegram Pods, Telegram Groups, or Instagram Engagement groups, basically they are a group of people in a chat, created...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.