eric omondi

Eric Omondi (born 9 March 1983) is a Kenyan comedian and actor. He made his comedy debut in Churchill Show, a comedy show that airs on NTV in 2008. He has since won three African Entertainment Awards USA for 'Best Comedian' in 2018, 2019 and 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Wasanii wa Tanzania wanapaswa kujifunza kitu kwa Eric Omondi, sio lazima kujipendekeza kwa Serikali ili maisha yako yaende

    Msanii wa Comedy kutoka Kenya, amekuwa akifanya vitu ambavyo kikawaida tumezoea kuona vikifanywa na wanasiasa kwa lengo la kutafuta huruma za wananchi waje kumpigia kura wakati wa uchaguzi. Ingawa pia, inaweza kuwa ni pia mipango ya Erico, you never know. Lakini kitendo cha kufanya tu hivyo...
  2. Analogia Malenga

    "Sitaacha!" Eric Omondi anasema baada ya kuachiwa kutoka kizuizini na polisi

    Mchekeshaji Eric Omondi amesema kwamba kuachiwa kwake kulihakikishwa na mfanyabiashara Gor Semelang'o, ambaye alimdhamini kituo cha polisi. Mchekeshaji Eric Omondi ameachiliwa kutoka Kituo cha Polisi cha Central Nairobi ambapo alikuwa amezuiliwa baada ya kukamatwa Jumatatu alasiri. Omondi...
  3. Kenyan

    Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa barabara ya Ikulu akiwa na Mkokoteni uliojaa CV za Wakenya

    Mchekeshaji Eric Omondi amekamatwa kwenye barabara ya kuelekea Ikulu ya Nairobi akivuta mkokoteni uliojaa masanduku yenye CV za maelfu ya Wakenya wasio na kazi. Erick alidai kuwa alikuwa alizipeleka CV hizo Ikulu kwa Rais. Ikumbukwe Rais William Ruto hayupo nchini yupo ziarani Ujerumani.
  4. joto la jiwe

    Eric Omondi apigwa na Polisi baada ya kuongoza maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha

    MY TAKE; Hii ndiyo nchi inayosema kuna uhuru wa kujieleza[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom