Naomba kuuliza, hivi Dr. Ulimboka yuko wapi???? Kwa wenyeajibu tafadhali...Maana toka apone hajasikika mpaka wa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona unaamka Asubuh, Simu yako iko full charge... inafika sa 6... charge imeisha. Tafuta kazi bro, ishara sio nzuri hiyo. Naongea maana ndio experience ninayopitia sasa. This is very serious, lifanyiwe kazi wakuu.
Tunaambiwa Dengue huenezwa kupitia mbu "aedes".. carrier wa vijidudu vya dengue, Asa kwanini mbu huyo hujitokeza tu baadhi ya miaka, Katika miaka mingne ambako huwa hatuskii dengue, mbu huyo huwa ametoweka au huwa hawez kuambukiza?? Na kama ametoweka huwa anarudi vipi nchini??? Maana kukaa up to...
Hizi programme za serikali kusema haifukui makuburi, kwa kuwaacha walaji wa billions of money wanakula bata tu mtaani kwanini basi makaburi yetu ya HESLB yanafukuliwa.... tena kwa nguvu kubwa na picha wanaweka? Hyo mikakati mikali wanayoipanga dhidi ya watoto wa wakulima hawa kwanini wasiitumie...
Kuvunjika kwa muungano ni suala zito sana na sisi kama Watanzania tusiombe litokee kwa kizazi hiki na hata kijacho. Uwe CCM, CUF na hata kama huna chama utaathirika kwa njia moja au nyingine. Naomba kugusia resource moja ambayo tunashare. BAHARI. Kwa data zisizo rasmi zaidi ya 40% ya wazanbar...
iwe either mbezi beach, makonde, africana, mikocheni, iwe ya vyumba vitatu na iwe ndani ya fensi,, hata zikiwa nyumba mbili ndani ya fensi moja no problem. maximum kodi laki tano ...
hebu nisaidien,
nili attach kitambulsho changu cha kura kwenye ile form ya loan badala ya kitambulisho cha mdhamini!, ila kwenye list ya waliokosea simo, wht cn i do members!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.