Nimenunua hii simu mwaka jana mwezi wa tisa
Mwaka huu mwezi wa pili simu imezima tu screen ghafla, haijadondoka,haijakwaruzika hata screen
Imetumwa samsung Dar wanasema ni FAULT which means sina mchango kwenye kuharibika kwa hiyo screen
Kikombe kiko kwa wakala wao niliponunua Arusha (mhindi...
Duka linapatikana njiro 88 pick n pay
Baada ya crdb
Room no 8
Nguo nzuri za kike ziko kwenye punguzo
Suruali za vitambaa 10000 ukipata kuanzia 5 @8000
Magauni 10000
Skirt 10000
Jeans 8000
Instagram:Divineclothingstore_arusha
0762 998333
Napatikana njiro 88 pick n pay
Room no 8
Arusha
Nauza nguo za mtumba za Watu wazima
Suruali za ofisi 10000
Ukipata kuanzia 5 bei8000
Magauni 10000
Skirt 10000
0762 998333
Habari zenu,
Nataka kuagiza gari naona hata hao makampuni ya kuagiza wanacwanachukua picha za beforwad na Japanese autocom.
Sasa si heri ninunue tu huko beforwad au autocom!
Ushauri wenu experts na experience zenu zitanisaidia
Kwa kweli ni ngumu mno sijui haya mapenzi kwa nn yalikuepo
Loh!!!!
Wanaume mtuhurumie jamani
Yaani babe hakuwepo kwa week sasa karudi jana na love bite shingoni
Duh!!!nikashindwa hata kuuliza nimebaki tu nahema kama nimepanda mlima
Hivi ikikukuta wewe utafanyaje!!
Nauza nguo za mtumba grade one
Za kiofisi na casual
Karibuni sana
Duka liko Arusha, philips highway bar
Mikoani tunatuma
0762998333
Instagram :divine_clothing_store _
Nguo za kike zote
Za kiume ni mashati na tshirts
Habari Wana jamvi, nauza Sony Xperia z 1,iko katika hali nzuri kabisa
Nina emergency nahitaji pesa ya haraka so nimeamua kuuza nibaki na kitochi kwa muda
Ku attach picha kumenishinda
0762998333
Anakayehitaji ntamtumia picha what's app
Habari wana Jamii Forum,
Mi ni binti niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ambaye anafanya kazi mwaka wa nne huu kwenye ofisi fulani,
Elimu yake ni degree, kinachoniweka njia panda ni kwamba kwa miaka yote hiyo anaishi nyumbani kwao na yuko kwenye late 20's. Mimi nilipomaliza chuo sikupata kazi...
Yaani moyo umajaa machunngu sielewi kabisa kwa nini haki yangu ya kufungiwa umeme kwa wakati siipati.
Nimelipia tangu mwezi wa sita mwaka huu 2014 haiitajiki hata nguzo lakini hadi leo nilo gizani.
Hivi inamaana mamlaka husika zinavyosema kuwa kama huitaji nguzo ni siku 4 tu umeme ufungwe...
kwa walio na interest ya kuingia mnakaribishwa tunaanza leo tarehe 25 mwezi wa nne 2014,kuna thread iliwahi kuwepo kuhusu vikoba na watu walikuwa interested so nimelifanyia kazi na kikundi kinaanza tayari tumepata documents zote zinazohitajika
0767319121 tuwasiliane kwa wale wanaohitaji kujiunga
kuna thread iliahi kuwepo huku kuhusu vikoba,i nimeifdanyia kazi na nimeanzisha kikundi cha vikoba arusha ambacho kinaanza leo tarehe 25 mwezi wa 4 2014,kwa wale walioko arusha wenye interest tuwasiliane kwa namba 0767319121 sitakuwa online kwa hivyo tuwasiliane kwa simu
Hellow,
Mimi ni mjasiriamali ninayebuni vitu mbalimbali kwa kutumia vitenge.Nakaribisha wanunuzi wa jumla na reja reja, anayehitaji anipm nimtumie picha
Heri ya mwaka mpya wanajamvi!!!!!
Mwenzenu nilikuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja hivi, nilichoexperience ndio utata mtupu!!!!!!!
From the second date hata sijasema ndio, anawaza tu when are we going to sex!!!!
Nikaona duh!!! Sijui itakuwaje coz mi Nataka nimsome kwanza nimuelewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.