TANESCO Arusha mnapingana na utaratibu mliowekewa?

afrique

JF-Expert Member
Jun 28, 2012
509
135
Yaani moyo umajaa machunngu sielewi kabisa kwa nini haki yangu ya kufungiwa umeme kwa wakati siipati.
Nimelipia tangu mwezi wa sita mwaka huu 2014 haiitajiki hata nguzo lakini hadi leo nilo gizani.
Hivi inamaana mamlaka husika zinavyosema kuwa kama huitaji nguzo ni siku 4 tu umeme ufungwe zinasema uongo?au ndio mnataka rushwa?
Kama mimi tu nipo mjini natendewa haya walioko vijijini si watafungiwa baada ya mwaka mzima?Naona mnapingana na kauli za viongozi akiwemo Waziri wa nishati.
Natamani hili swala nilifikishe mbele ili Waziri ajue namna mnavyopuuza utaratibu mliowekewa .
 
Yaani moyo umajaa machunngu sielewi kabisa kwa nini haki yangu ya kufungiwa umeme kwa wakati siipati.
Nimelipia tangu mwezi wa sita mwaka huu 2014 haiitajiki hata nguzo lakini hadi leo nilo gizani.
Hivi inamaana mamlaka husika zinavyosema kuwa kama huitaji nguzo ni siku 4 tu umeme ufungwe zinasema uongo?au ndio mnataka rushwa?
Kama mimi tu nipo mjini natendewa haya walioko vijijini si watafungiwa baada ya mwaka mzima?Naona mnapingana na kauli za viongozi akiwemo Waziri wa nishati.
Natamani hili swala nilifikishe mbele ili Waziri ajue namna mnavyopuuza utaratibu mliowekewa .

Ndugu usishangae hayo.....viongozi wa hapa Tz hutoa maagizo kufurahisha umati/watu huku wakijua kuwa kuna mambo yamsingi yanapaswa yatekelezwe ili vitu vifanyike lakini wao hukurupuka tu nakufurahisha umati...utakuta serikali haiwapi bajeti zakununulia vifaa muhmu kama meter na n.k lakini viongoz haohao wanashinda majukwaani wakipiga kelele tu.
 
Ndugu usishangae hayo.....viongozi wa hapa Tz hutoa maagizo kufurahisha umati/watu huku wakijua kuwa kuna mambo yamsingi yanapaswa yatekelezwe ili vitu vifanyike lakini wao hukurupuka tu nakufurahisha umati...utakuta serikali haiwapi bajeti zakununulia vifaa muhmu kama meter na n.k lakini viongoz haohao wanashinda majukwaani wakipiga kelele tu.

Watu tuliofanyiwa survey pamoja wameshafungiwa,inamaana mita yangu tu ndio ilikosekana?Au ndio mkono mrefu?
 
Hahahaaa. Ngoja nicheke kwanza. Afu wakishakufungia umeme usubiri kuanza kuibiwa units kwenye mita zao za luku nyambafu zao. Yaani mita zao zinatafuna umeme duu
 
Pole sana Mkuu!hao jamaa bila kuwapa rushwa utakaa sana,huku kibaha tumeshazoea,emergency yao ni wala rushwa vibaya mno ila dawa yao ipo jikoni.
 
hili si shirika ni balaa na lipotee kabisa,wanadai hawana pesa na wakiitiwa pesa wanataka rushwa,mkiambiwa watz mko hovyo mnaleta siasa, lifungiliwe mbali,wapewe wazungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom