afrique
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 509
- 135
Habari wana Jamii Forum,
Mi ni binti niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ambaye anafanya kazi mwaka wa nne huu kwenye ofisi fulani,
Elimu yake ni degree, kinachoniweka njia panda ni kwamba kwa miaka yote hiyo anaishi nyumbani kwao na yuko kwenye late 20's. Mimi nilipomaliza chuo sikupata kazi hivyo nilisota sana kitaani na tumemaliza mwaka mmoja wote ye akapata kazi mwaka huo huo.
Baada ya miaka mitatu ndio nimapata mtaji nikaanza kufanya biashara,ambapo naisapoti familia yangu 80% coz nimetoka familia ya chini sana. Pamoja na hayo mwezi ujao ntaanza kujitegemea,na hata mwaka haujaisha tangu nimepata hicho kimtaji,na simtegemei kwa chochote huyu mwanaume.
Napata mawazo naona kama huyu ni mtoto wa mama sababu kwao wako vizuri kiasi chake hakuna wanaomtegemea ila baado anakaa kwao. Mi naona sitaweza kuishi na mwanaume wa hivi kwa sababu ya nature ya maisha yangu na jinsi nnavyo hustle hard nafikiria kumuacha.
Sijui mnanishaurije
Mi ni binti niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ambaye anafanya kazi mwaka wa nne huu kwenye ofisi fulani,
Elimu yake ni degree, kinachoniweka njia panda ni kwamba kwa miaka yote hiyo anaishi nyumbani kwao na yuko kwenye late 20's. Mimi nilipomaliza chuo sikupata kazi hivyo nilisota sana kitaani na tumemaliza mwaka mmoja wote ye akapata kazi mwaka huo huo.
Baada ya miaka mitatu ndio nimapata mtaji nikaanza kufanya biashara,ambapo naisapoti familia yangu 80% coz nimetoka familia ya chini sana. Pamoja na hayo mwezi ujao ntaanza kujitegemea,na hata mwaka haujaisha tangu nimepata hicho kimtaji,na simtegemei kwa chochote huyu mwanaume.
Napata mawazo naona kama huyu ni mtoto wa mama sababu kwao wako vizuri kiasi chake hakuna wanaomtegemea ila baado anakaa kwao. Mi naona sitaweza kuishi na mwanaume wa hivi kwa sababu ya nature ya maisha yangu na jinsi nnavyo hustle hard nafikiria kumuacha.
Sijui mnanishaurije