Ni kiwanja cha ukubwa wa 25 x 20, kina nyumba (sio ya kisasa) ya tofali za block na choo cha nje. Haina uzio. Ipo mtaa wa kwamathias, mita 400 kutoka kwa mzee mathias barabara ya zamani.
Hakuna dalali, haina hati, taratibu zote zitafuatwa kabla ya malipo!
Mwasiliano 0752 252 658
Wakuu naombeni mnisaidie hii simu nikandika msg ikazidi na kuwa mbili inaibadilisha na kuwa MMS na ukiituma haiendi tena. Sasa naombeni mnisaidie ndio kawaida ya hizi cm au kuna setup naweza kubadilisha.
Natanguliza shukrani.
Nimeshawahi kuanhalia movie moja inaitwa the notebook kiukweli mimevutiwa sana na aina hii ya movie, wadau nisaidieni majina ya nyingine kama kumi nizitafute. Natanguliza shukrani.
Wanajamvi kwa wale wenye taarifa za kutosha naomba kufahamishwa ile phd ya heshima aliyopangiwa kupewa Rais obama alipewa? na kama hakupewa ni kwann? Kwa mwenye taarifa wadau tafadhali.
Nyumba ipo kibaha kwa matiasi mtaa wa pili kutoka stand, imesajiliwa kwa namba MKM 2019, ina vyumba vya kulala vinne (4) na sebule. Umeme na maji bado na pia inahitaji finishing, kwasasa inaishi watu. Hahitajiki dalali. Mawasiliano 0658 252658.
Wadau tangu wiki mbili zimepita nimeshuhudia vipaji vizuri sana kutoka kwa wanafunzi wa secondary zetu Tanzania, kiukweli kama vijana hawa wataendelezwa watafila mbali sana kimichezo. Binafsi niwapongeze kanda ya mashariki(pwani na moro) kwa kuwa bingwa wa soka 2013 kwa kuifunga zanzibar bao 1...
Ni muda sasa nimekuwa nikimuona Rais wa marekani akiwa na mwanae wa kike aitwae Sasha, kiukweli si kwamba mtoto yule ni mzuri tu bali anastahili kabisa kuwa mke wangu. Kinachonisumbua ni wapi ntapata mawasiliano yake ili nilifikishe kusudio langu. wanajamvi najua mnaweza kunisaidia please...
Jamani wanajamvi naweza kuwa mgeni wa jambo hili: ni zipi sifa halisi za wakidada wa kichaga na ukitaka kuoa ni taratibu gani za kufuata mpaka kutoa mahali? Msaada jamani wanajamvi.
Wimbi la vijana wengi wakike na wakiume kujitokeza kutafuta wenza kwny mitandao ya kijamii linazidi kuongezeka kwa kac sana. Me naomba kujuzwa sababu hasa ni nn? Ni kukata tamaa, matumizi ya technologia, au wapenzi bora wapo huko au ni aina flani ya maisha watu wameamua kuishi. Kiukweli wanaJF...
Wapenzi wanaJF,
BINADAM tunapitia nyakati tofauti sana za mahusiano na kwasababu tunatumia sana hisia kwenye mahusisano yetu tumekuwa tunashindwa kudumu nayo kwa muda mrefu. Mpaka sasa ulipofikia ni wangapi umekuwa nao na wangapi mmeachana na unakumbuka ni kwa nini mliachana? FUNGENI JAMANI NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.