kimweri Jr
Senior Member
- Jun 9, 2012
- 131
- 41
Wapenzi wanaJF,
BINADAM tunapitia nyakati tofauti sana za mahusiano na kwasababu tunatumia sana hisia kwenye mahusisano yetu tumekuwa tunashindwa kudumu nayo kwa muda mrefu. Mpaka sasa ulipofikia ni wangapi umekuwa nao na wangapi mmeachana na unakumbuka ni kwa nini mliachana? FUNGENI JAMANI NA USHAURI PIA TUPEANE.
BINADAM tunapitia nyakati tofauti sana za mahusiano na kwasababu tunatumia sana hisia kwenye mahusisano yetu tumekuwa tunashindwa kudumu nayo kwa muda mrefu. Mpaka sasa ulipofikia ni wangapi umekuwa nao na wangapi mmeachana na unakumbuka ni kwa nini mliachana? FUNGENI JAMANI NA USHAURI PIA TUPEANE.