SELECTED CANDIDATES FOR UNDEGRADUATE DEGREE
PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2012/2013
The management of SUA is pleased to inform the following candidates that they have been selected to join
various undergraduate degree programmes for the 2012/2013 academic year which starts on the 8th October...
Jamani heslb wametoa majina 2649 ya watu waliokosea mambo mbalimbali katika kujaza fomu haya ni:
-kukosekana picha ya mdhamini
-kukosekana sahihi ya mwanafunzi
-kukosekana sahihi ya wakili au mahakama
-kukosekana kwa sahihi ya serikali ya kijiji
Tafadhari tembelea heslb.go.tz uweze kuona!
wadau inakuaje TCU wanakuandikia not eligible kozi zote,kwa mfano mimi kozi zote nane wameniandikia not eligible na nina vigezo vyote hadi zile za kawaida sasa huu ni mtandao ama? na ina effect gani?
Jamani wanajf wenzangu kwa wale waliosoma BVM au wenye uelewa juu ya hii kitu,tukizungumzia hali ya kitabu chake and future prospectus meaning value yake pamoja na maslahi (no jokes),asanteni!
Jamani naombeni mnisaidie mimi nimesoma CBG na nimepata division 1 sasa kuna kozi mbili ambazo naona kuna dalili kubwa za kuchaguliwa ila leo naomba mnisaidie kama nursing iko fresh tukizingatia na maslahi pia,asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.