king rockie ATL
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 260
- 25
Jamani heslb wametoa majina 2649 ya watu waliokosea mambo mbalimbali katika kujaza fomu haya ni:
-kukosekana picha ya mdhamini
-kukosekana sahihi ya mwanafunzi
-kukosekana sahihi ya wakili au mahakama
-kukosekana kwa sahihi ya serikali ya kijiji
Tafadhari tembelea heslb.go.tz uweze kuona!
-kukosekana picha ya mdhamini
-kukosekana sahihi ya mwanafunzi
-kukosekana sahihi ya wakili au mahakama
-kukosekana kwa sahihi ya serikali ya kijiji
Tafadhari tembelea heslb.go.tz uweze kuona!
Applicants woote wa Loans Board (HESLB) 2014/2015 pita hapa uone kama jina lako lipo kwenye list ya majina yenye makosa ili urekebishe haraka sana kama ilivyo agizwa na HESLB. Majina yoote yaliyowekwa hapa yapo kwenye mfumo wa excel na pia attachment ya pili (ipo kwenye word) ni kwa ajili ya Tangazo la kiujumla lionyeshalo jinsi ya kufuata utaratibu uliowekwa na HESLB kufanya marekebisho hayo. Tahadhali ni kwamba mwisho wa kufanya marekebisho haya ni tarehe 10 September 2014
Applicants wote waliokosea katika ujazaji fomu za HESLB makosa yapo kwenye haya yafuatayo:
-kukosekana picha ya mwombaji/mdhamini
-kukosekana sahihi ya mwombaji/mdhamini
-kukosekana sahihi na mhuri wa wakili/mahakama
-kukosekana kwa sahihi/mhuri wa serikali ya kijiji/mtaa
KARIBUNI SANA