Ndugu zangu natumai wote ni wazima wa afya njema,naomba nitumie fursa hii kutafakari nanyi maana ya maneno haya kwa mstakabali wa Taifa letu pendwa Tanzania.Neno POLITICS linatokana na neno POLYTICS lenye maana ya POLY=wengi,TICS=Kupe,unaweza akisi siasa yetu na viongozi wanaong'ang'ania...
Nimekwenda wakati fulani kwenye makumbusho ya mauaji hayo pale kigali panaitwa KIGALI GENOCIDE MEMORIAL,kwa kweli inahuzunisha ukisimuliwa ilivyokuwa,Tumuombe mungu aitunze amani yetu.AMEN.
Ndugu zangu wa Tanzania na wana Jf wenzangu,kwanza kabisa poleni kwa pirikapirika na mikikimikiki ya maisha ndani ya nchi yetu.Yote heri,Leo naomba kwa pamoja tujaribu kuitafakari kwa mtazamo wa kisiasa hali ya nchi yetu,Je!kama uchaguzi mkuu ungefanyika leo hali ya matokeo kiasilimia...
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema leo kimefanya mkutano wa hadhara ambao umehudhuliwa na mamia ya watu,viongozi kadhaa wa chama walikuwepo miongoni mwao ni Mh.Nassari,Mh.Msigwa na kamanda Bananga ambae amejiunga na CDM akitokea CCm yapata miezi mitano iliyopita.Mambo mengi yamezungumzwa...
Hata wewe ungekuwa muandishi/mhariri habari,Si watu wote wangefurahishwa na utendaji kazi wako!Pia kumbuka Saed Kubenea alitendewa nini na wewe ulimpa sh.ngapi kwa ajili ya matibu?Usipende waandishi waitumie akili yako kuropoka,halafu wakipelekwa mabwepande wewe unawaangalia tu bila...
Tupo ndani ya ukumbi wa Msekwa,tupo Mh.Msigwa mbunge wa Iringa mjini CDM,anazungumza mambo kadhaa lakini anaomba watu wawajibike kwa maisha yao,na wasitegemee ajira za serikali.
Ndugu wana Jf natumai hamjambo!Leo nipo Dodoma kwa ajili ya mualiko nilioupata pamoja na wenzangu kuja bungeni dodoma,safari yetu imeanzia Iringa majira ya saa mbili asubuhi kwa usafiri wa basi la UPENDO lenye namba T839-ASN na tumefika Dodoma saa moja jioni.Mwenyeji wetu ni mbunge wa Iringa...
Leo nimeyakumbuka maandiko matakatifu ya Yesu,kwa kweli imeniuma sana hasa nikikumbuka kuzaliwa,kusalitiwa,kuteswa na kuuwawa kwa Yesu kristo.Wengi tungependa Yesu aonekane waziwazi lakini haijatokea na limekuwa suala la kiimani zaidi ya kwamba Yesu atarudi tena kwa ajili ya ukombozi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.